Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,840
- 57,484
Kama hubadirishi Jembe huwezi kupataNa kansa hii
Kama hubadirishi Jembe huwezi kupataNa kansa hii
Kabisa MkuuNdio njia pekee unakuwa na uhakika mimba haijaingia, sijawahi kusumbuka..ni mwendo wa kuchomoa na kutupia panapostahili kwa mda huo🤣
Kwenye huu uzi kajibadili jinsia, anasubiri kuliwa na jamaa yupo njiani.Ni mwanaume huyu
Hawa ndo wazeee wa zama zetu🤣🤣Mwambie atumie njia ya kumwagia nje (Withdrawal).
Japo ni Wanaume wachache wanaweza kutumia njia hii
Basi ni shogaNi mwanaume huyu
😂😂😂Jichanganye sisi ma anko pesa za pampas zipoNgoja tuonee hii Kama itawezekana ila nasikia kuna ya kunywa maji mengi sijui ni ya ukweli
Toa tunu hiyo msela aisasambue mengine ni matokeo tuHaya mje mnipe mbinu za kutumia nisipate mimbaa
Jamaa ataingia usiku sana tupo tunachart hapa nimemuuliza kuhusu sex kasema we lazima tufanye nikampa mashart ya kupima na kutumia kinga yaani kondomu kasema tutapima ila yeye hawezi kutumia condom maana mimi ni mpnz wake hawezi kufanya sex Kama anafanya na malaya
Sasa nyie mlionishauri nimpe mimi sijawah tumia uzazi wa mpango na naogopa maana nasikia zina madhara hapo baadae
Nikisema nitumie kalenda nitadanganya mzunguko wangu umevurugika ndani ya miez 6 mzunguko wangu unabadilikabadilika
Haya nipeni mbinu za kutumia za asili nisishike ujauzito
⊘ This message was deleted
Anavyosema "nimpe" yaani inachekesha tuu...Mama mchungaji mbona kicheko
Ama kweli MMU ina wenyewe 😬Tatizo hueleweki Kaka
Huu upwiru ni msemo wa madume shtukeniKumbe upwiru unao
Ulikuwa unaringa nini
I love you more...🤣Kumbe upwiru unao
Ulikuwa unaringa nini
🤣 🤣 🤣 🤣 nikusogezee karibu umfanye kitu?We mshenzi nini?
NakaziaMpe ile ya zuchu
Huyu mbwa nii fala sana🤣 🤣 🤣 🤣 nikusogezee karibu umfanye kitu?
Kama mliamua kutufundisha Wazee wenu Matumizi ya Viswaswandu sasa tufanyaje 😜Hawa ndo wazeee wa zama zetu🤣🤣
Tupatie mrejesho wa mbilinge mbilinge za chumbani nini kilijiriNimeshatapikaa