manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,745
Mwanamke ukipishana nae maneno kidogo tu we unadhan mambo yashaisha unarud job jioni mtu kafuta mdomo unajiuliza ni nini tena hapa na wanaume wengi tushawajua wake zetu siku hayuko vizur na siku yupo vizui unamlia timing unamuuliza wife kuna shida, unapewa tu la mkato.
Hamna ukijaribu kumfanyia utani kutaka kama kumshika unasikia ebu niache mi sijisikii vizuri aje tena na ushaniambia hamna shida. Hapo akili kumkichwa ni kutafuta wapi tu pa kwenda kupotezea mda urudi late hours ama ujikeep busy na watoto ujichekeshe na watoto huku unamsoma mood.
Na mbaya zaidi unaona kabisa jinsi yeye anavyomia na gubu lake maana unakuta unacheza na watoto mnaongea kitu anataka kucheka ila anajifanya uso wa mbuzi kukuonyesha tu hali leo tete. Balaa ipo mkiingia bed tena kipindi hiki cha baridi ushazooea zero distance ukijaribu kuweka mkono tu kumkumbatia mkono utarushwa usipokuwa makini unaweza vunjika.
Sasa unajiuliza ni nini. Unakuja kukumbuka asubuhi alitaka mle chai na kitafunwa chake cha viazi alivyochemsha wewe ukasema hapana viazi mimi nataka mkate. Basi yani atanuna hapo na haki ya ndoa utanyimwa na huduma zingine alizokuwa anakupatia zitasitishwa na ukiangalia nini kinampa kiburi.
Hivyo unakuja kuta ni ile ndoa mliofunga tu so inampa uhakika huwezi kumfanya chochote. Kweli siwezi kukufanya chochote lakini tunaishi kwenye ndoa mfu mpaka lini? Agrrrrrrrrrr. Nyie kina mama nyie dawa yenu inachemka.
Hamna ukijaribu kumfanyia utani kutaka kama kumshika unasikia ebu niache mi sijisikii vizuri aje tena na ushaniambia hamna shida. Hapo akili kumkichwa ni kutafuta wapi tu pa kwenda kupotezea mda urudi late hours ama ujikeep busy na watoto ujichekeshe na watoto huku unamsoma mood.
Na mbaya zaidi unaona kabisa jinsi yeye anavyomia na gubu lake maana unakuta unacheza na watoto mnaongea kitu anataka kucheka ila anajifanya uso wa mbuzi kukuonyesha tu hali leo tete. Balaa ipo mkiingia bed tena kipindi hiki cha baridi ushazooea zero distance ukijaribu kuweka mkono tu kumkumbatia mkono utarushwa usipokuwa makini unaweza vunjika.
Sasa unajiuliza ni nini. Unakuja kukumbuka asubuhi alitaka mle chai na kitafunwa chake cha viazi alivyochemsha wewe ukasema hapana viazi mimi nataka mkate. Basi yani atanuna hapo na haki ya ndoa utanyimwa na huduma zingine alizokuwa anakupatia zitasitishwa na ukiangalia nini kinampa kiburi.
Hivyo unakuja kuta ni ile ndoa mliofunga tu so inampa uhakika huwezi kumfanya chochote. Kweli siwezi kukufanya chochote lakini tunaishi kwenye ndoa mfu mpaka lini? Agrrrrrrrrrr. Nyie kina mama nyie dawa yenu inachemka.