Nakubaliana na yeye karibu sehemu zote.
Kasoro sehemu ya kuogopa kutafuta habari za dini za watu katika sensa, kwani wasomi watahitaji habari hizi kufanya chunguzi na serikali inaweza kuhitaji habari hizi kuandaa mipango yake inayoathiriwa na dini, kwa mfano habari za uzazi wa mpango.
Alikuwa msanii tu na yeye
Hakuna mtu mwenye akili kama yeye anaeweza kuongoza watu
kwa miaka yoote asijue eti wamegawanyika kidini namna gani...
he was no fool....
Alikuwa anajua exactly sensa ya watu kidini inasemaje...
hapo ni usanii tu anafanya
I give Nyerere some slack too, he certainly had a self contradicting benevolence and at least statesmanship in intent unrivaled by any other, partly as an accident of history.
So I understand he must have been partly Machiavellian by virtue of his office, but I would also like to think that there is a good argument that he may just have had this genuine belief in what he was saying.
Why, the concept may even have had some semblance of validity during that time.
But not now.
The fact that our country is being threatened by religion based divisions should give the government even more reason to include the religion question in the census, not less.
Ignoring this question may raise a mountain out of a molehill.
sasa Nyerere akisema eti hata mawaziri wake hakuwajua dini zao ni usanii tu...
sisemi alikuwa mdini...naweza sema aliona hizo infos sio za kutangazwa labda ili ku avoid hiki ambacho
tunakiona sasa....but infos zipo na wanazijua
Hmmm...nadhani umemuelewa vibaya.
Yeye hoja aliyokuwa anaijenga ni kwamba dini ya mtu ni jambo la binafsi na haihusu wengine. Jambo ambalo nakubaliana naye mia kwa mia.
Dini yako wewe Boss inanihusu nini mimi? Kama wewe unaabudu likinyago mimi inanihusu nini?
I wholeheartedly agree with him.
I've said it before that we're sitting on a powder keg of religious tension that can explode at any minute.
I don't see the need to include that religion question in the census. If it has to be, then it should be optional but not required.
Point hapa ni kuwa kama alisema wakoloni walisababisha mgawanyo kidini...
alijuaje? unarekebishaje? unajuaje kuwa unachokifanya kinarekebishika?
unahitaji source sio?takwimu sio?
sasa utasemaje hujui?
Kama dini ni swali la msingi, kabila je?
The folly of the assertion that including the religion question will somehow solve our division issues - or at least maintain the stalemate status quo- would have been laughable had it been not so serious.
Contrary to the purported benevolent totalitarian approach, suppressing this info may actually accelerate the explosion due to validating some conspiracy theories.
The best way to expose a lie is not to deny it information (information wants to be free).
The majority of the Tanzanian people do not want religious divisions, let's face it, we have intermarried too much for that to happen, and most of us are still african traditionalists at heart, even the Mzee wa kanisas and a good number of shehes.
So why not give the few individuals (religious nuts) the rope they need to hang themselves with (census figures showing religion based divisions)? And see what are they going to do with these figures?
What are they going to do? Ask for a cabinet that is apportioned by religion based quotas? Ask for University seat apportions by religion based quotas? then the government will really prove it's case and get all the justification it needs to put it's foot on them with full state powers and the backing of the majority of Tanzanians.
Until then, what the government is doing now is akin to prohibiting people to drive simply because there is a risk of a few accidents that comes inevitably with driving.
That's not how you run a country.
So you think asking that question would somehow placate the religious crazies?
So why not give the few individuals (religious nuts) the rope they need to hang themselves with (census figures showing religion based divisions)? And see what are they going to do with these figures?
Very simple, you rectify it by being religion blind!
Nakubaliana na yeye karibu sehemu zote.
Kasoro sehemu ya kuogopa kutafuta habari za dini za watu katika sensa, kwani wasomi watahitaji habari hizi kufanya chunguzi na serikali inaweza kuhitaji habari hizi kuandaa mipango yake inayoathiriwa na dini, kwa mfano habari za uzazi wa mpango.