Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,008
- 142,666
It's not a question of placating them.
It's more about putting truth to light and seeing what will they do.
If their interests are genuine, they will use the data to build mosques/ hospitals (helping the government in the hospital bit, which is why it is sheer folly to think that these figures do not figure into public policy in a way or another) and the entire brouhaha will end there.
If they have a more malicious intent, example to use this info for political ends, insinuating a religion based split in the fabric of our nation, then the government should be able to deal with them after there is eveidence that this indeed happenned.
After all we still do uphold "innocent until proven guilty" right?
How could we as a nation declare that this data is going to be used maliciously even before the data is obtained?
Is denying the collection of this data to all Tanzanians simply because a few nuts will misuse it fair to academicians who want to conduct credible researches supported by credible, authoritative and neutral sources such as the government census ?
Sasa si ndo Nyerere anacho claim kukifanya?
mbona malalamiko yamezidi now?
si yangeisha basi?
Haya malalamiko Boss ni bogus. Hayana foundation yoyote ile katika facts.
Kuna watu wana ajenda zao. Stuka braza kaka....
Some people want to advance their agenda and who knows what's next....it could be a demand for Sharia law in some places.
[/COLOR]hili unaweza lirekebisha kwa njia nyingi, moja ni kutoa elimu ya uzazi wa majira, elimu ya uchumi, sheria mfano kwa wenzetu huwezi kulala na mkeo mpaka amekubali ama sivyo inachukuliwa kama ni kubaka, hali ngumu ya maisha inaweza pia kukurekebisha wewe mwenyewe na kuona hakuna haja ya kuwa na watoto wengi, na zaidi ya hapo hili la kuzaliana halifuati, dini bali eneo husika, na mambo mengineyo kama kukosekana kwa umeme nk. unaweza kukuta waha, wakisha pata ulabu wao basi hasira kwa mama ,matokeo yake ni watoto, wengi lakini hapo hapo kuna vifo vya hao watoto kutokana na kukosekana kwa mambo ya afya, lishe nk. vivohivyo kwa wasukuma, nk nk , hivyo vikra yako kwamba watu wengi wa pwanindio wana watoto wengi ni potofu? au wa dini fulani kwa sababu hawafuati uzazi wa majira sivyo. kwanza mtu akisha ingia kwenye uzinifu basi hapo hakuna dini.
Sijasema malalamiko ni valid
wala sipingi kuwa kuna hidden agenda....
Ninachokubaliana na Kiranga ni kitu kimoja tu
kuwa kama Taifa lazima tuwaamini watu kwa ujumla wao
na sio serikali ijfanye Godfather wa kuamua vitu vingine kwa hisia tu...
Watanzania walivyo dini ni cultural thing
majority ya Waislam hata msikitini mpaka mwezi wa Ramadhan...
Wakristo ambao wanaamini waganga kuliko Askofu ni wengi pengine kuliko vice versa
Hii fear haina maana....
Weka data tuone
Swali la dini lilikuwa ni la msingi kwa vigezo vingi tu. Lakini kwa jinsi dodoso za sensa za sasa zilivyotengenezwa na jinsi mgongano wa mitazamo kati ya waumini wa kawaida na wale wenye misimamo mikali ulivyokuwa na unavyoendelea kukua katika nchi yetu, suala hili la dini lingeleta data zenye upotofu mwingi sana.
Mathalani, mtu unamwuliza mmelala wangapi usiku wa kuamkia tarehe 26th Agosti; naye ni mdini, angeweza kusema uongo tu. '....aaaaah tulilala kumi na tano hapa....' wakati walilala watu wanne ama watano!
Haya malalamiko Boss ni bogus. Hayana foundation yoyote ile katika facts.
Kuna watu wana ajenda zao. Stuka braza kaka....
Some people want to advance their agenda and who knows what's next....it could be a demand for Sharia law in some places.
Mimi kwa mtazamo wangu naona hao wanazi wa dini wanaijaribu tu serikali waone iko ngangari kiasi gani.
Licha hivyo, kama watu wanataka data za serikali basi hilo swali au hayo maswlai ya dini yawe voluntary.
Yasiwe ni ya lazima kujibiwa.
Nyerere made a good point. Makanisa, misikiti, na sijui ma Shri Swaminarayan temples si yana waumini bana? Basi hao viongozi wakusanye tu idadi ya waumini wao na habari yote kwisha.
They don't need to be causing a ferkukkle to the rest of us.
nakubaliana na wewe kuwa hii hoja ilishikiliwa sana na watu fulani wakiwa na agenda yao na si kwa maana ya takwimu tu, hivyo kulikuwa na uwezekano mkubwa wa kuwepo kwa majibu yasiyo sahii ili kutaka malengo yao kufikiwa.
Unajua tatizo lenu hamtaki kutulia kwenye mada na kutoa hoja zenye nguvu ya kujibu mada inyohusika mnaishia kutukana na kukejeli. Toeni sababu za msingi za kuweka kipengele cha dini katika sensa. Mwalimu Nyerere aliuliza idadi ya kidini ni kwa ajili ya nini? Kama wakristo au waislamu wanataka idadi ya waumini wao si waipate kwa taratibu za dini zao? Shida hapa ni nini????????????? Kipengele cha dini kwenye dodoso ya sensa kinasaidia nini? Nchi hii sio ya kidini tukijua idadi ya waislamu itatusaidia nini? Maana hapa hatuhitaji kugawa Kurani wala kugawa Biblia hapa!!!!!!!!! Hakuna eneo la waislamu wala wakristo peke yao kwamba maendeleo au raslimali zitagawanywa kidini. Udini unasaidia nini?????????? Nyerere katika hotuba hii anasema hivyo ni vipengele vilivyowekwa na wakoloni na yeye haoni umuhimu wa kipengele hicho kuendelea. Hapo ana kosa gani? Tuache unafiki, kama kuna jambo lingine limejificha nyuma ya kutaka idadi ya watu kidini lisemwe wazi lisifichwe kwenye sensa. Huu ni uongo. Usikimbilie tu kunitukana maana ndilo unalojua, toa hoja acha mambo ya vijiweni.
Dini ni personal lakini wakati mwingine zinatuhusu woote
chukulia mfano
umehamia mtaa fulani ukakuta kuna Msikiti jirani na una loud speaker
na wewe binafsi hutaki kusikia mawaidha ya msikiti huo
unafanyaje?
unahama? je kama nyumba umenunua?
si utaangalia sheria za mipango miji zinasemaje?
sasa ili sheria hizo ziwekwe si inabidi ziwepo data?
mfano kama sheria inasema nyumba ya ibada itakuwa na uhuru fulani kwa
mujibu wa watu wa eneo husika...si lazima ziwepo data?na data si ndo takwimu?
au misamaha ya kodi ya Taasisi za dini?
ambayo ni moja ya tatu ya bajeti
tunajuaje kama haiwi abused?data ziko fake?
...NN unachosema ni kweli kabisa kwamba kuna watu wanaweza kabisa kuwa na ajenda zao za siri ili kutumia takwimu za sensa kuanzisha madai mengine. Kwangu mimi madai yoyote yale ambayo yameegemea kwenye udini hayana msingi wowote ule. Madai yoyote yale dhidi ya serikali yasitubague Watanzania kwa kuwa huyu ni Muislamu, Mkristo, Chadema au Magamba.
Ila hii Serikali kama kawaida yake imechemsha sana ilipoamua kuhesabu nyumba za ibada lakini kutowahesabu wale ambao wanaenda kuabudu katika nyumba hizi za ibada. Tuchukulie mathalani katika sensa hiyo tukishajua Tanzania kuna misikiti 500,000 na makanisa 1,000,000 sijui takwimu hizi zinasaidia vipi katika mikakati ya kuleta maendeleo ya nchi.
Wale TBC waliomba samahani kwa kudai takwimu walizitumia zilikuwa na makosa. Hivyo kwa hili basi huu wakati wa sensa ungekuwa ni wakati muafaka kuhakikisha Serikali inapata takwimu sahihi zinazoonyesha wapagani ni wangapi, wakristo ni wangapi n.k. lakini kwa Serikali kukataa kuongeza hicho kipengele cha dini utata huu utaendelea kuwepo kwa miaka mingine 10 au zaidi kutegemea na hiyo sensa nyingine itafanyika lini tena na kama Serikali ya wakati huo itakubali kuweka kipengele hicho cha dini.
Mimi kwa mtazamo wangu naona hao wanazi wa dini wanaijaribu tu serikali waone iko ngangari kiasi gani.
Licha hivyo, kama watu wanataka data za serikali basi hilo swali au hayo maswlai ya dini yawe voluntary.
Yasiwe ni ya lazima kujibiwa.
Nyerere made a good point. Makanisa, misikiti, na sijui ma Shri Swaminarayan temples si yana waumini bana? Basi hao viongozi wakusanye tu idadi ya waumini wao na habari yote kwisha.
They don't need to be causing a ferkukkle to the rest of us.
Hayo mambo ya makelele kwenye residential areas ni tatizo la utawala mbovu usiofuata sheria.
Sina shaka kuwa kuna angalau sheria ndogo za miji ambazo zina address mambo ya public nuisance n.k.
Kwenye makazi ya watu kero zipo nyingi tu mojawapo yakiwemo mabaa ambayo yamezagaa kama uyoga.
Nenda Sinza Boss....anzia Migombani, uende pale kwa Afande...upande juu kule karibu na Meeda....halafu hesabu katika hiyo vicinity kuna mabaa mangapi halafu ujiulize, je, hivi haya mabaa yamewekwa hapo kwa kufuata sheria kweli? Nadhani jibu unaweza ukapa mwenyewe bila hata ya kupekua kurasa za vitabu vya sheria za mipango miji.
Wengine tutamjibu dini zinajenga mashule na mahospitali, kwa hiyo serikali na dini kama zinataka kufanya kazi kwa ufanisi hazina budi kushirikiana kupata credible data zinazoonyesha wingi na mtawanyiko wa watu kwa mujibu wa dini.
Sasa mbona serikali hiyo hiyo inahesabu makanisa na misikiti?
Jibu hoja!!!!!!!!!!!!!!!Soma thread, hujaona watu tumeongelea research, public policy, need to know, denying conspiracy theory?
Au una selective dyslexia?
Mimi msingi wa kutaka watu wahesabiwe kwa dini ni ukweli kwamba dini ina influence public policy.
Huu ni ukweli usiopingika.
Kwa mfano, katika nchi yenye meagre resources kama yetu ambayo dini zinajenga mahospitali na mashule sawasawa na serikali, it pays kujua shule za kidini zitajengwa wapi ili kuepuka uneconomic redundancy.
Na katika kujua hili serikali inaweza kuhitaji habari za idadi na mtawanyiko wa watu kwa mujibu wa dini.
Nyerere kasema serikali haijengi misikiti na hivyo haina sababu ya kujua dini za watu.
Wengine tutamjibu dini zinajenga mashule na mahospitali, kwa hiyo serikali na dini kama zinataka kufanya kazi kwa ufanisi hazina budi kushirikiana kupata credible data zinazoonyesha wingi na mtawanyiko wa watu kwa mujibu wa dini.