Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

This is an excellent piece; i hope Mr. Right atakitumia vizuri kuelewa the benefits and limitations of free market in our context, a system which he favours so much bila chujio;
watetezi wa Free market na Capitalism humu JF mara zote wanataka kutuaminisha kwamba mara tu baada ya uhuru kama nchi hii ingefuata kwa ukamilifu sera za kibepari basi leo tungekuwa tunatawala Afrika kiuchumi na kijamii. Lakini ukiwauliza kama ubepari ndiyo muarobaini wa matatizo ya kiuchumi duniani mbona huko ulikoanzia unaporomoka, wanabaki kulalama dhidi ya "unyerere"
 
Hiyo point ya mwisho, Nyerere 1977 baadaye, 78,79, vita vya Uganda. Nchi ilikuwa ktk hali mbaya. Kila mtu anajua matokeo ya vita. Hali ilianza ngumu, ndiyo maana Nyerere alianza kupanga exit yake.

Kwa hiyo ungekuwa nyerere kipindi hicho wewe unge sssurender mipaka yao kukwepa hali ngumu?
 
Mpendwa Joka kuu...nilijua kuna mtu atajibu kama ulivyojibu

Je Nyerere aliposhiriki uchaguzi wa 1958-1959/60 alikuwa/tulikuwa chini ya ya nani?

Nyerere alipokuwa waziri mkuu wa kwanza tulikuwa chini ya nani?

unasema kuwa ni kosa wazanzibar kuwa chini ya sultani ila ni haki watanganyika kuwa chini ya malkia? na influence ya malkia/uingereza kwetu sisi iliondoka lini?

au tungefanya mapinduzi ya kuwa chini ya waingereza...angetokea okello mwingine wa kufanya kilichofanyika zanzibar?
Mkuu wangu sasa hapa nachapia kutaka kuunganisha uzi ulokatika.. Shamte alikwenda UN kama mwakilishi wa nchi iliyokuwa huru ya Zanzibar na rais wake alikuwa Jamsheed Ibn Abdullah - ambaye inasemakana ni mrithi halali wa Usultan hata Oman.

Tofauti kabisa na Nyerere alipkwenda UN na kutuwakilisha baada ya kukubaliwa na kujiunga na UN, yeye alikuwa rais wetu na hata kama angekwenda kawawa ingejulikana rais wa Tanzania ni Nyerere..Kati ya makosa makubwa aloyafanya Shamte hili ndilo kubwa kuliko yote na naweza kumlaumu Shamte kwa kusababisha maafa yote yaliyotokea (Mapinduzi) ni kutokana na ukibaraka wake. Hiki chama cha Hizbu kilipohamwa na kina Abdulrahman Babu na Salim walizungumzia vizuri matatizo ya Ukabila na race kujenga vyama vya siasa Zanzibar kiasi kwamba Watu weusi na Washiraz wakaunda chama chao ASP dhidi ya Hizbu wenye asili ya utawala wa sultan wa Oman....

Kitendo cha yeye mtu mweusi kujiunga na Hizbu akijua kuna ukabila ili kuwazidi kura Afro Shiraz kwa kuahidiwa Uwaziri mkuu ndio haya makosa tunayoyaona leo na Seif Sharrif Hamad - huu ni usaliti kwa CUF na Wazanzibar - mtanisamehe ni mtazamo wangu kwa Seif Hamad, simwamini kabisa mtu mwenye agenda binafsi...Sultan alipewa kinga ya Uingereza kwa kuomba yeye akiwa mtawala wakati wote nchi hiyo ilipokuwa imetawaliwa..Hivyo Uhuru wao hauna tofauti kabisa na ule wa Rhodesia chini ya Ian Smith maana hata Uingereza haikuwa mtawala bali Jamheed...na sijui kama unautambua Uhuru wa Rhodesia leo hii kama ndio halali na sio ule uhuru wa Mugabe.
 
Pia hajui kwamba hata kwa wenzetu walioendelea (US, UK), serikali zilijikita sana katika uchumi, tena kupitiliza hata mwalimu wakati wa ujamaa; Sidhani hata kama anajua role of the government miaka ya nyuma in these industrialized countries of today, hata zile new asian tigers; Pia sidhani kama anamjua John Maynard Keynes; uelewa wake wa mambo in practice ni mdogo sana, ila anajitahidi kuelewa kwenye theories kwenye vitabu, which is good;
Mtu yoyote ambae unapenda uchumi, you need to have a base or school of thought where you belong, kuna so many schools of thought ambazo zipo out there for mtu kutumia to build your argument, yeye hana, anayumba huku, mara kule, kupelekea hoja zake kutokuwa na mashiko;

Ndio maana nimempa mfano wa safari ya china ilivyoanza. Viwada vikubwa vya mwanzo vya china viikuwa ni vya jeshi. Hata USA na UK ni hivyo. BAE ni kampuni inayongoza za kwa export za UK. Ni ya Jeshi la UK na ina tawi lake lingine South Africa. kumbe serikali za kibepari zina mkono kwenye uzalishaji na biashara. Njoo kweye Mauzo ya Radar

Haya ulizia Jeshi letu ni kipindi gani lilkuwa linazalisha zaidi. Ni kiipindi cha Mwalimu au sasa? Sasa hivi nadhani Jesh letu limekuwa Jeshi la expenditure. Sababu ya mawazo hayo hayo eti serikali haitakiwi kufanya Biashara. Unaruhuus hata Kiwnada cha baiskeli kife kwa sababu yauchumihuria kwa faida ya nani.

Mtu anayelamu sera strategic za yerere ni yule anayetazama mambo simple simple. Ni mtu labda Aliyekulia magorofani. Na hajui maisha ya jamii mbali mbli shemu mbali mbali na hata vijijini. Mtu anayeoona kwa nini familia yake ilicheleweshwa kununua TV au kwa nini ilikuwa kazi kupata colgate ya kenya. Ni mtu ambaye akiwa kingozi atafanya maaamuzi kuleta faida leo na kesho kwa expense ya kubebehsa mzigo taifa mzigo mkubwa miaka sita baadae . Ilimradi atakuwa hayupo
 
Chama,
Ndiyo maana, nimesema Ujamaa umetufanya tuwe wategemezi. Kama tungekuwa na market economy tungekuwa mbali; kwa sababu kila mtu angetaka kufanya vizuri ili areach level fulani ya maisha. By the way, watu wengi wanakuwa millionaire in USA , ni bidii yako tu.
Swali usilotaka kulijibu na kuendelea na hadithi ni hili:
Katika nchi zilizokuwa na free market kama Kenya na Uganda amabzo tuna mahusiano ya karibu sana kijamii na kitamaduni zimefanikiwa kiasi gani na kwa vipi kuondoa umasikini na maendeleo kwa ujumla ukilinganisha na Tanzania iliyokuwa na ujamaa.
 
Swali usilotaka kulijibu na kuendelea na hadithi ni hili:
Katika nchi zilizokuwa na free market kama Kenya na Uganda amabzo tuna mahusiano ya karibu sana kijamii na kitamaduni zimefanikiwa kiasi gani na kwa vipi kuondoa umasikini na maendeleo kwa ujumla ukilinganisha na Tanzania iliyokuwa na ujamaa.

Hivi umeshawahi ona popote pale duniani kuliko kuwa na maendeleo bila ya political stability, bila ya kuangalia the mode of production. Kwetu Nyerere alifanya kazi kubwa sana kujenga hiki kitu, lakini lawama zinakuja thereafter hapo ndipo mnaposhindwa kuwa wakweli.

Yes he was intelligent hilo halina ubishi, but his long term visions are still open to scrutiny. Hata huyo Deng Xiaoping learned a lot from Mao Zedong, lakini halikubal ukweli wa muda wake hili taifa liendelee his masters ideology had to be scrapped completely na kupunguza hegemony media propaganda.

Kwetu bado ni tatizo kwa sababu a complete approach in socialism is bound to fail na hii ni kwenye mi-nchi ambayo inamisomi kibao, hila tu kwakuwa bado atuna tabia ya kuukubali kweli kwa kupenda kutumia biased propaganda and emotional attachments ndio bado tunabisha kitu ambacho kiko in the open (Mwalimu was a failure).

Amna raisi aliye-mfuata kuwa bora zaidi yake, lakini policies zake, mawazo yake and the style of his governance produced the rest of the failures we witness today (hawa viongozi ni by-product ya mwalimu tu, either luck of patriotism aliyowafundisha au kuja kuweka watu juu pending on loyalty or just may be he wasn't as strict as we are made to believe to everyone except to his enemies and a few examples, simple).
 
Hivi umeshawahi ona popote pale duniani kuliko kuwa na maendeleo bila ya political stability, bila ya kuangalia the mode of production. Kwetu Nyerere alifanya kazi kubwa sana kujenga hiki kitu, lakini lawama zinakuja thereafter hapo ndipo mnaposhindwa kuwa wakweli.

Yes he was intelligent hilo halina ubishi, but his long term visions are still open to scrutiny. Hata huyo Deng Xiaoping learned a lot from Mao Zedong, lakini halikubal ukweli wa muda wake hili taifa liendelee his masters ideology had to be scrapped completely na kupunguza hegemony media propaganda.

Kwetu bado ni tatizo kwa sababu a complete approach in socialism is bound to fail na hii ni kwenye mi-nchi ambayo inamisomi kibao, hila tu kwakuwa bado atuna tabia ya kuukubali kweli kwa kupenda kutumia biased propaganda and emotional attachments ndio bado tunabisha kitu ambacho kiko in the open (Mwalimu was a failure).

Amna raisi aliye-mfuata kuwa bora zaidi yake, lakini policies zake, mawazo yake and the style of his governance produced the rest of the failures we witness today (hawa viongozi ni by-product ya mwalimu tu, either luck of patriotism aliyowafundisha au kuja kuweka watu juu pending on loyalty or just may be he wasn't as strict as we are made to believe to everyone except to his enemies and a few examples, simple).
Juma, sijui kama umefuatilia mijadala mingi kwa undani. Kama umefuatilia mjadala wa Mohamed Said ungeelewa watu wanaongelea nini.

Nyerere kama kiongozi anaweza kujadiliwa kama kiongozi yoyote yule. Mazuri na mabaya yake yajadiliwe kwa uwazi. Mweka mada ameeleza kwanini kuna juhudi za kumchafua kama wachangiaji wengine wengi wanavyoona.
Hakuna anayemtetea Nyerere ya kuwa alikuwa malaika na alifanya mazuri. Huko Nyuma mimi binafsi nimewahi kueleza yale ambayo sikuridhishwa nayo wakati wa ezi zake.

Tofauti na wale wanaomchukia, mimi ninaweza kueleza kwanini sikukubaliana na sera zake. Sio lazima kila mtu akubaliane nami lakini basi hoja zinajieleza na mtu anaweza kupata nafasi ya kujibu kwa hoja zake, yaani wote tukalingania mada kwa uelewa.

Hawa wenye chuki ambazo zimejikita katika udini na mafunzo ya kukariri bila kutafakari ndio tunaojaribu kuwarudisha katika mstari.
Si kukubaliana na hoja zetu la hasha, ni kuwasaidia jinsi ya kujenga hoja na si kumeza hoja za Mohamed Said bila kujua anafanya biashara ya uandishi wa vitabu na ame target kundi analojua ni sehemu ya soko lake, lakini pia akiwa na frustration zake anazozijenga kama fustration ya taifa na hasa umma wa waislam.

Mfano ni Mr Right anaposema tungekuwa na free market economy tungekuwa mbali. Inaweza kuwa ana hoja na ndipo tuna muuliza Kenye, Uganda, Malawi, Zambia walikuwa hawana ujamaa. Kwa vile wao tuna mahusiano makubwa ya kijamii na kiutamaduni wamepiga hatua gani tunayoweza kusema si matokeo ya ujamaa. Pengine kwa kuona hoja hii itaua dhana ya chuki ndio maana nawe umekuja kuijibu kwa kiwango hicho ulichojaliwa.

Unaposikia mtu anasema Nyerere hakufanya lolote, wengine huwa tunahitaji kujua zaidi na ni hapo ndipo tunauliza ukilinganisha na marais 3 waliotawala miaka 25 na 24 ya Nyerere wamefanya nini kwa pamoja ambacho mwalimu hakukifanya?
Hapo ndipo tunasikia hakujenga bara bara ila Kikwete anajenga kwa kuweka lami ! jamani.
Tunauliza ni jambo gani ambalo linafanyika sasa hivi ambalo si msingi wa Nyerere, hakuna jibu! baada ya kukosa majibu wanarudi na kusema hafai, mbovu,mchawi badhirifu, mwizi n.k!

Lakini hao hao wasioweza kujibu maswali ndio mafundi wa kuhubiri Nyerere mbovu, hafai kuitwa baba wa taifa n.k.
Hivi unawezaje kusema Juma Contena ni mbovu kama huna hoja za kusaidia kauli yako. Je hapo si chuki.

Wengine tunahitaji msaada wa kujua wapi alikosea na kwanini na angefanya namna ipi mbadala. Je waliomfuata walifanya nini kukosoa makosa yake. Hakuna anayeweza kueleza. Tunarudi kule kule ni mtu mbaya sana.

Kundi hili limelishwa amini kuwa ukisema Nyerere ni mbaya basi unapata thawabu. Just say it even if you cannot back up with any evidence or any substantial and meaningful arguement!! Just open the mouth you will have lots of Thawab.

Imefika mahali watu wanadhani baba wa taifa ni biological father bila kujua ni language tu. kuna father of economy, father of genetics, father of the physics etc etc . Kama neno father halimfai Nyerere kama founder wa taifa basi hatuna sababu ya kumuitwa Mendelin father of genetic, au Newton kama father of 'physics'.

Najua wapo watakaokuja na hoja kuwa founder of the nation haina maana kwasababu nchi ilikuwepo. Sitashangaa kwasababu ni mwendelezo wa chuki dhidi ya mwalim hata kama wanakubali Mahtama Gandhi ni father of the India sub continent au founder of the Nation.

Nimalizie kwa kusema kila kinachosemwa au kuandikwa kiwe na mashiko. Kuleta hadithi za kusimuliwa gogo vivu ni kudhalilisha umma. Chuki ikitamalaki busara huhama na akili huvia. Ni ugonjwa mbaya sana.
 
watetezi wa Free market na Capitalism humu JF mara zote wanataka kutuaminisha kwamba mara tu baada ya uhuru kama nchi hii ingefuata kwa ukamilifu sera za kibepari basi leo tungekuwa tunatawala Afrika kiuchumi na kijamii. Lakini ukiwauliza kama ubepari ndiyo muarobaini wa matatizo ya kiuchumi duniani mbona huko ulikoanzia unaporomoka, wanabaki kulalama dhidi ya "unyerere"

ubepari ni mojawapo ya misingi ya maendeleo. Lenin aliwahi kukiri kuwa wasingeweza kufikia ukomunist bila kupitia ubepari ili wajenge taifa la viwanda na uzalishaji kwanza. Alisema. 'we are making one step back in order to make two steps forward. Ila sisemi kama ubepari ni mzuri. Ni njia tu na wala si makao
 
Swali usilotaka kulijibu na kuendelea na hadithi ni hili:
Katika nchi zilizokuwa na free market kama Kenya na Uganda amabzo tuna mahusiano ya karibu sana kijamii na kitamaduni zimefanikiwa kiasi gani na kwa vipi kuondoa umasikini na maendeleo kwa ujumla ukilinganisha na Tanzania iliyokuwa na ujamaa.

Nguruv3,

Nilikujibu kwenye hii post

Unashindwa kutofautisha oportunity tuliyokuwa nayo sisi TZ ni tofauti sana na Kenya ua Uganda. Like I said before, TZ ipo ktk nafasi nzuri kuliko hizo nchi. TZ tuna location nzuri kuliko Uganda. TZ tuna nafasi nzuri ya kufanya biashara kuliko Kenya. Kwa hiyo opportunity yetu ni kubwa sana, huwezi hata kulinganisha na hizo nchi. Kwa hiyo kucompare hizo nchi na TZ, ni sawa na kucompare mbuzi na ngo'mbe.

Sasa kama tungekuwa na market economy, sisi tungekuwa mbali sana kwa sababu hizo sababu nilizokupa na zenginezo ambazo zitachukua page kuziandika. Uganda hawakuwa nafasi tuliyokuwa nayo sisi. Hawana bandari, ardhi yao ndogo. Kenya wamezungukwa na chi ambazo hazina stable government. Please, dont compare Mbuzi na Ngo'mbe.

Pili- Kufa kwa Ujamaa siyo kwamba ndiyo kila kitu kitabadilika. Unashindwa kuelewa hiyo regime ya Nyerere mpaka leo imebakia madarakani. Pamoja na mabadiliko machache yaliyofanywa ktk kipindi cha Mwinyi, bado msingi kamili wa market economy umepotezwa. Viongozi wengi waliopo madarakani ni matunda ya Mzee Nyerere. Bado society yetu inamawazo ya utegemezi (Ujamaa). Market economy inataka foundation, na hiyo itachukua muda.

Hiyo senctensi ya mwisho naona umechanganya mambo. Unasema 1977 Kenya ilikuwa ina nguvu ikaua EAC. Nchi (TZ) ilikuwa haina kitu chochote. Kwa hiyo unakubali kwamba Nyerere alichemsha alifeli?
 
Acheni mzaha, Ubepari tuliingia wakati mzuri kabisa mwaka 1986, isipokuwa hatukuwa na plan that was a mistake na pili Nyerere aliwakabidhi madaraka wahuni kiasi kwamba mimi nafikiri he did that so that we fail ktk Ubepari kuweza kuonyesha dunia he was right all along maana nashindwa kabisa kuunganisha picha ya Mwinyi na Mkapa wakati alikuwa na vichwa pembeni waliobobea ktk uchumi. Hapa ndipo nashindwa kuelewa urithi huu aliutoa kwa misingi gani lakini kuhusu Ujamaa bob wala sina noma naye kabisa kwani alifanya kilichotakiwa kufanya. kama nilivyosema huwezi kwenda okoa watu Kigogo au jangwani na Meli mkuu wangu unapelekea mtumbwi na ikibidi uvue shati unavua na kuonmgoza wewe iwe kwa nguvu au wasipende maadam lengo ni kuokoa watu.. Tanzania tulikuwa ktk janga hilo na wokozi wake ulihitaji chombo na utawala unaolenga kuokoa watu na sio kufanya maonyesho ama mashindano..

samahani kama kuna makosa ya kiuandishi maana huandika wakati huo huo nafikiri....


Mkandara,

Thanks kwa kuwa honest. Ukiwa na conclusion hiyo kwenye red, juu ya Nyerere, how can you even trust Nyerere as a person? au utendaji wake wa kazi ktk kipindi chote alichokuwa madarakani mpaka pale alipoacha.
 
Mkuu wangu sasa hapa nachapia kutaka kuunganisha uzi ulokatika.. Shamte alikwenda UN kama mwakilishi wa nchi iliyokuwa huru ya Zanzibar na rais wake alikuwa Jamsheed Ibn Abdullah - ambaye inasemakana ni mrithi halali wa Usultan hata Oman.

Tofauti kabisa na Nyerere alipkwenda UN na kutuwakilisha baada ya kukubaliwa na kujiunga na UN, yeye alikuwa rais wetu na hata kama angekwenda kawawa ingejulikana rais wa Tanzania ni Nyerere..Kati ya makosa makubwa aloyafanya Shamte hili ndilo kubwa kuliko yote na naweza kumlaumu Shamte kwa kusababisha maafa yote yaliyotokea (Mapinduzi) ni kutokana na ukibaraka wake. Hiki chama cha Hizbu kilipohamwa na kina Abdulrahman Babu na Salim walizungumzia vizuri matatizo ya Ukabila na race kujenga vyama vya siasa Zanzibar kiasi kwamba Watu weusi na Washiraz wakaunda chama chao ASP dhidi ya Hizbu wenye asili ya utawala wa sultan wa Oman....

Kitendo cha yeye mtu mweusi kujiunga na Hizbu akijua kuna ukabila ili kuwazidi kura Afro Shiraz kwa kuahidiwa Uwaziri mkuu ndio haya makosa tunayoyaona leo na Seif Sharrif Hamad - huu ni usaliti kwa CUF na Wazanzibar - mtanisamehe ni mtazamo wangu kwa Seif Hamad, simwamini kabisa mtu mwenye agenda binafsi...Sultan alipewa kinga ya Uingereza kwa kuomba yeye akiwa mtawala wakati wote nchi hiyo ilipokuwa imetawaliwa..Hivyo Uhuru wao hauna tofauti kabisa na ule wa Rhodesia chini ya Ian Smith maana hata Uingereza haikuwa mtawala bali Jamheed...na sijui kama unautambua Uhuru wa Rhodesia leo hii kama ndio halali na sio ule uhuru wa Mugabe.

Mkandara salute you!

Naona unazungumzia ukabila, kosa la shamte, lakini yet tuna mataifa mengi yana tabia za kizanzibar

swali je hawa Hizbu, ASP kwa mitazamo ile ile ya kujenga nchi yao umoja wao...tunaweza tukawapa baba wa taifa lao akawa Nyerere??
 
Hivi umeshawahi ona popote pale duniani kuliko kuwa na maendeleo bila ya political stability, bila ya kuangalia the mode of production. Kwetu Nyerere alifanya kazi kubwa sana kujenga hiki kitu, lakini lawama zinakuja thereafter hapo ndipo mnaposhindwa kuwa wakweli.

Yes he was intelligent hilo halina ubishi, but his long term visions are still open to scrutiny. Hata huyo Deng Xiaoping learned a lot from Mao Zedong, lakini halikubal ukweli wa muda wake hili taifa liendelee his masters ideology had to be scrapped completely na kupunguza hegemony media propaganda.

Kwetu bado ni tatizo kwa sababu a complete approach in socialism is bound to fail na hii ni kwenye mi-nchi ambayo inamisomi kibao, hila tu kwakuwa bado atuna tabia ya kuukubali kweli kwa kupenda kutumia biased propaganda and emotional attachments ndio bado tunabisha kitu ambacho kiko in the open (Mwalimu was a failure).

Amna raisi aliye-mfuata kuwa bora zaidi yake, lakini policies zake, mawazo yake and the style of his governance produced the rest of the failures we witness today (hawa viongozi ni by-product ya mwalimu tu, either luck of patriotism aliyowafundisha au kuja kuweka watu juu pending on loyalty or just may be he wasn't as strict as we are made to believe to everyone except to his enemies and a few examples, simple).

ukijua ukweli huu utakuweka huru.......ccm ni wakolini ti this day, na wanatumia unyerereism kutawala
 
ukijua ukweli huu utakuweka huru.......ccm ni wakolini ti this day, na wanatumia unyerereism kutawala

I don`t think so; they use new philosophies like ubaridhifusm; rushwaism; udanganyifusm and udinism; however we can still change the game if we chose not to be fooled.

Chama
Gongo la Mboto DSM.
 
Naona unatoka povu. Kumuita mtu baba ambae si baba yako ni "heshima" mnayojazwa nayo vichwani kutoka Kanisani. Kumuita mtu baba ambae si baba yako si heshima bali ni kumvunjia heshima mama yako. Kama nyinyi mnajazwa huo ujinga makanisani wa kuwa kila mmoja ni baba yenu, ni huko huko kanisani na msituletee sisi heshima zisizokuwa na adabu.

Unasema Nyerere kafanya mengi mazuri, mimi nakuambia mabaya ni mengi zaidi aliyoyafanya kuliko mazuri, kama unabisha weka list, tuone yepi yatazidi na tuchambuwe kama kweli hayo unayosema kayafanya kayafanya yeye na yalikuwa hayapo na kama kweli kapita kiwango ya yaliyokuwepo kabla yake. Mimi nakuambia huwezi hata pakuanzia.

wewe FF mbona hivyo sasa kwanini unakashifu dini za wengine,,,kweli tunajua akili huna lakini nilikuheshimu

kwasababu ya kutokukashifu dini za watu ila sasa bora tu utoke ujilindie heshima ndogo uliyo nayo..sawa bi khadija..
 
ukijua ukweli huu utakuweka huru.......ccm ni wakolini ti this day, na wanatumia unyerereism kutawala
Mkuu,
Unaweza kufafanua CCM ya leo inatumia vipi unyenyerism kutawala bearing in mind if there is such thing as unyenyerism, hakuna kilicho kikubwa nje ya muungano na Azimio la arusha? Pia naomba majibu ya swali langu kwako kuhusu Ujamaa na Zanzibar, direct relationship kama ipo, ni ipi;
 
Hivi umeshawahi ona popote pale duniani kuliko kuwa na maendeleo bila ya political stability, bila ya kuangalia the mode of production. Kwetu Nyerere alifanya kazi kubwa sana kujenga hiki kitu, lakini lawama zinakuja thereafter hapo ndipo mnaposhindwa kuwa wakweli.

Yes he was intelligent hilo halina ubishi, but his long term visions are still open to scrutiny. Hata huyo Deng Xiaoping learned a lot from Mao Zedong, lakini halikubal ukweli wa muda wake hili taifa liendelee his masters ideology had to be scrapped completely na kupunguza hegemony media propaganda.

Kwetu bado ni tatizo kwa sababu a complete approach in socialism is bound to fail na hii ni kwenye mi-nchi ambayo inamisomi kibao, hila tu kwakuwa bado atuna tabia ya kuukubali kweli kwa kupenda kutumia biased propaganda and emotional attachments ndio bado tunabisha kitu ambacho kiko in the open (Mwalimu was a failure).

Amna raisi aliye-mfuata kuwa bora zaidi yake, lakini policies zake, mawazo yake and the style of his governance produced the rest of the failures we witness today (hawa viongozi ni by-product ya mwalimu tu, either luck of patriotism aliyowafundisha au kuja kuweka watu juu pending on loyalty or just may be he wasn't as strict as we are made to believe to everyone except to his enemies and a few examples, simple).

Unaposhindwa kubadilisha mapungufu uliyoyakuta kama kiongozi, na wewe ni failure, and not failure because of aliyekutangulia but failure of your own...; ndio maana hata nchi kama marekani, Obama aliingia madarakani kutokana na failure za bush, lakini leo hii anakufa na tai yake shingoni kwa kupigana yeye kama yeye, hata siku moja hausikii akitoa visingizio vya Rais aliyepita, na hatathubutu kufanya hayo kwani thats not being a leader; na akithubutu tu, game is over; kwani ataulizwa, ok, umeyakuta hayo, tukakuchagua, yamekushinda tumjaribu mwingine? Obama atapigiwa kura next year sio kwa sababu ya Bush bali kwa Sababu ya Obama; huu ni mfano kwa marekani lakini suala la leadership llina transcend kote;

Na hoja kwamba Nyerere ameacha muundo mbovu wa uongozi nadhani ni za hisia kuliko facts, kwani inakuwa kama vile hamsomi miongozo na misingi yake iliyowekwa, ambayo hata wapinzani kuna baadhi ya vitu wanavikodolea macho wavitumie; Ebu tuwekeeni hiyo miongozi mibovu ya uongozi aliyoyaweka Nyerere, ambayo inachochea system failure; naongelea miongozo, sio tabia za watawala wa CCM wakiwa madarakani;

Mimi nina uhakika kuna watu Tanzania watapiga kura uchaguzi 50 years from now - 2070 or so na kumchagua mgombea mwingine because of failure za Mwalimu, not kwa kumpima anayegombania nafasi husika kama anatosha au lah;
 
Naomba niulize swali moja. Alhaj Ally Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete waliuza zaidi ya mashirika 500 yaliyokuwa ya Umma. Mashirika hayo yalijengwa enzi za utawala wa nani kama siyo utawala wa Mwalimu. Na ni mangapi kati ya hayo yanaleta tija iliyoahidiwa wakati yanauzwa?
 
Mr Right:

What is your understanding of Ujamaa na Kujitegemea? Kwa sababu naona kwenye hoja zako nyingi you combine the two mfano unapenda kusema UJAMAA (KUJITEGEMEA), hivyo kuzidi kuongeza fallacy in many of your arguments; Naomba unieleweshe una elewa vipi hilo, ili nifananishe na your lines of arguments zilizopita kwani zinaji changanya sana;
 
Mkandara salute you!

Naona unazungumzia ukabila, kosa la shamte, lakini yet tuna mataifa mengi yana tabia za kizanzibar

swali je hawa Hizbu, ASP kwa mitazamo ile ile ya kujenga nchi yao umoja wao...tunaweza tukawapa baba wa taifa lao akawa Nyerere??
Bila shaka mkuuu wangu unajua Nyerere baada ya Mapinduzi yaliyodumu siku 100 (Okello), yeye kwa kumshauri Karume aliweza kuunganisha nchi zetu, kuunganisha sio tu ASP na CCM bali hata kuwachukua viongozi wote wa Umma Party kina Abraham babu, Salim na wengine wengi jkuja bara kuwapa hifadhi na madaraka makubwa ktk serikali ya Jamhuri halafu fikri mtu kama Seif Hamad wa Hizbu na wengine pia wakaingia ktk serikali hii tena wana wadhifa mkubwa tu. Hawa wote walikuwa Wanted Zanzibar miaka ya 60s japokuwa bado Nyerere analaumiwa kwa mauaji ya wale viongozi wengine (Hanga) alowakabidhi kwa serikali ya Zanzibar ili wafikishwe mbele ya sheria kutokana na madai ya baraza la Mapinduzi wakauawa... Halaumiwi Karume wala baraza hilo bali Nyerere...

Sawa Nyerere pengine alifanya makosa lakini wangapi walipona, Tazama Tz bara Wa Oman walivyojaa, Wapemba Temeke, wahindi na watu kibao wenye asili ya Zanzibar ambao walikimbia Zanzibar wametawanyika Bara nzima lakini bado analaumiwa Nyerere. Nyerere made peace between them leo wako pamoja japokuwa kuna misuguano mdogomidogo ya kisiasa lakini JKN amehakikisha analinda hali ya amani visiwani hadi leo hivi tunavyozungumza ushikamano wa Wazanzibar waliokuwa nao na background ni picha tofauti kabisa...leo wanajiita Wazanzibar na wana umoja ambao ulikuwa ndoto kabisa miaka ya 60s. Mahehemu Othman Haroub hayupo leo lakini angeweza kukupa picha zaidi bila Ushabiki..

Mr Right,
Umeuliza kwa nini namwamini Nyerere ambaye amewakabidhi madaraka wahuni...Kumbuka tu siwezi kuweka sababu kwa nini alifanya hivyo isipokuwa nakisia, naweka maneno mdomoni mwake kwa sababu hatukufanikiwa na hawa watu wameacha vision yake na kuipelekea nchi kiholela pasipo kuwa na dira kwa dhana kwamba Ubepari ndio njia pekee ya maendeleo...Na hapa ndipo napowatazama wasomi wengi wameshindwa kabisa kupima ama kuangalia...

Sisi tulikuwa na vita kubwa tatu, Kuondoa UJINGA, UMASKINI na MARADHI na kama haya ndio matatizo yetu makubwa tulitakiwa kufikiri, Je Ubepari utaondoaje adha hizi.. Na ndio maana nasema huwezi kumwokoa mtu ktk maafa ya Mafuriko Jangwani ama Kigogo kwa kutumia meli..Hii ndio vision ya Nyerere na akachukua Ujamaa (mtumbi) kama njia bora zaidi kulingana na mazingira yetu. Hawa wahuni wamekuja acha kabisa kuokoa watu wamekwenda Serengeti kupumzika na wake zao wakitegemea hao maskini walalahoi wajiokoe wenyewe...hapa ndipo nashindwa kuelewa mkuu wangu.

Na huwezi kutumia Ubepari wa Marekani ktk nchi yenye majanga kwa sababu malengo ni tofauti kabisa. Marekani hawana maadui hawa watatu Ujinga, Umaskini na maradhi wao wapo nchi kavu, mazingira yao tofauti na wanatumia strategies tofauti kuweza kupata maendeleo zaidi. Sisi ambao tupo juu ya mapaa ya nyumba tunatafuta kuokolewa kwanza tutoke ktk Ujinga, umaskini na maradhi kisha ndio kuchanganya gear kuwa na maisha bora zaidi...

Kwa hiyo makosa ya Nyerere ni ya kibinadamu kabisa sawa na kuchagua mke ambaye kindoa haitadumu haina maana wewe akili zako hovyo kabisa. Hivyo hadi hapo itakapo bainika kwa nini Nyerere aliwapa Mwinyi na Mkapa kuongoza nchi hii wakati wote hawakuwa na record ama uwezo wa kuongoza nchi yetu hapo ndipo tunaweza jenga hoja zetu. Pia tukumbuke kwamba na sisi wenyewe tunachangia maana Mkapa safari ya Pili na JK sasa hivi awamu mbili Nyerere hayupo tumeshindwa kufanya maamuzi tofauti...
 
Waberoya said:
Mpendwa Joka kuu...nilijua kuna mtu atajibu kama ulivyojibu
Waberoya said:
Je Nyerere aliposhiriki uchaguzi wa 1958-1959/60 alikuwa/tulikuwa chini ya ya nani?

Nyerere alipokuwa waziri mkuu wa kwanza tulikuwa chini ya nani?

unasema kuwa ni kosa wazanzibar kuwa chini ya sultani ila ni haki watanganyika kuwa chini ya malkia? na influence ya malkia/uingereza kwetu sisi iliondoka lini?

au tungefanya mapinduzi ya kuwa chini ya waingereza...angetokea okello mwingine wa kufanya kilichofanyika zanzibar?



Waberoya,

..nadhani Mkandara amejibu vizuri hoja yako.

..kilichotokea Zanzibar siyo uhuru, bali mkoloni mmoja[muingereza] kumrithisha utawala mkoloni mwingine[muarabu].

..hapa kwetu pamoja na kwamba after 9/12/1961 tulikuwa chini ya Malkia, njia ilikuwa wazi kwetu kuchukua uamuzi wa kuwa Jamhuri. I dont know if u could say the same about Zanzibar, kwamba wazalendo walikuwa na uhuru wa kuamua kuondokana na utawala wa Sultani wa Kiarabu.

..vilevile nakuomba ufuatilie chaguzi zilizokuwa zikifanyika Zanzibar kabla ya huo unaoitwa uhuru. sheria za uchaguzi zilizokuwepo pale, ukichanganya na kuwepo kwa vyama vya siasa vyenye sera za kibaguzi dhidi ya Waafrika, zilikuwa ni kikwazo kwa chama kama Afro Shiraz kuweza kuunda serikali.

..Mapinduzi hayakutokea toka hewani. There were conditions on the ground that necessitated mapinduzi kutokea.

NB:

..naomba tu-stick kwenye mada ya Mchambuzi.

..masuala ya Zanzibar yanaweza kuharibu hoja iliyoko mbele yetu.


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom