Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
Unaposhindwa kubadilisha mapungufu uliyoyakuta kama kiongozi, na wewe ni failure, and not failure because of aliyekutangulia but failure of your own...; ndio maana hata nchi kama marekani, Obama aliingia madarakani kutokana na failure za bush, lakini leo hii anakufa na tai yake shingoni kwa kupigana yeye kama yeye, hata siku moja hausikii akitoa visingizio vya Rais aliyepita, na hatathubutu kufanya hayo kwani thats not being a leader; na akithubutu tu, game is over; kwani ataulizwa, ok, umeyakuta hayo, tukakuchagua, yamekushinda tumjaribu mwingine? Obama atapigiwa kura next year sio kwa sababu ya Bush bali kwa Sababu ya Obama; huu ni mfano kwa marekani lakini suala la leadership llina transcend kote;
Na hoja kwamba Nyerere ameacha muundo mbovu wa uongozi nadhani ni za hisia kuliko facts, kwani inakuwa kama vile hamsomi miongozo na misingi yake iliyowekwa, ambayo hata wapinzani kuna baadhi ya vitu wanavikodolea macho wavitumie; Ebu tuwekeeni hiyo miongozi mibovu ya uongozi aliyoyaweka Nyerere, ambayo inachochea system failure; naongelea miongozo, sio tabia za watawala wa CCM wakiwa madarakani;
Mimi nina uhakika kuna watu Tanzania watapiga kura uchaguzi 50 years from now - 2070 or so na kumchagua mgombea mwingine because of failure za Mwalimu, not kwa kumpima anayegombania nafasi husika kama anatosha au lah;
Bado mnaendelea kuandika in denial for the purpose of legitimizing ‘JKN' prowess's. Wengine hatuangalii who was ‘JKN' as an individual bali his mind set particularly on political grounds, kwa maana hiyo mtu aliyetupatia uhuru wetu angeitwa Hassan, James, Mazinde, Okonkwo or whatever aisadii tunapoangalia suala hili.
Hapa tunacho angalia ni matendo ya mtu huyo, and in-this instance it just happens the guy was named Julius K Nyerere (labda mfunge macho kidogo na nyie sasa msimuangalie mtu bali matendo yake kisiasa zaidi kuliko kizile namna zingine). That is to say my arguments have no relations with my emotions what so ever.
Nikirudi kwenye swala la makosa ya nyerere, ni siasa in general ndio amtaki kuziangalia nategemea wengi wetu humu ndani tunaelewa definition ya siasa lakini atutaki kuangalia challenges zake especially kwenye utekelezaji wa dhamana wananchi waliowaachia wanasiasa. Hapa ndipo linapokuja jibu lako la kuwa ubovu wa mwalimu ya kuwa ni hisia zangu na sio facts. Well let me establish those facts; kuna namna nyingi unaweza iangalia siasa as in: Powers held by the ruling government, effects of the government in social life and finally as the study of the state.
Pawili ndio JKN kafeli sana katika uongozi wake kwenye ‘the politics of power' and ‘social life' na hapa ndipo bado kuna ‘ripple effect' mpaka leo kutokana na maamuzi yake. Power kisiasa ni uwezo wa kufanya wengine waweze fanya vitu ambavyo otherwise they wouldn't have done on their own in return the subjects can not do the same to you. Na mbinu ambazo zinatumika zinaweza kuwa ujanja wa kuongea na uelewa au hata ubabe kwenye kulazimisha.
Kwa maana hiyo Nyerere kwenye siasa za power (authority) yeye haya mabavu aliyakita sana kwenye uongozi wake na kujiba almost absolute power legitimately (kupitia katiba) akiwa kama raisi wa kwanza na ndio hizi powers leo zimetumika na maraisi waliofuata na hata ndio nguvu ya chama tawala kutotaka kuleta katiba yenye usawa.
Kukakitisha mandishi isiwe kitabu powers leo zinafanya wapinzani wanyimwe maandamano, zinafanya polisi kuuwa wananchi on behalf of the state, kufukuza watu kwenye makazi yao kama loliondo na bila ya kupewa haki zao kikatiba na haki zao za kibin-adam kama katiba inavyosema. In short ni kama yeye alivyoweza kuwaita wapinzani wake kama akina Hanga kuwaweka hadharani na kuwa hutumu huko ni kuvunja misingi ya katiba kwakuwa anakuwa jaji, jury and a prosecutor.
Na ni sehemu nyingi za jamii hizi powers alizoziacha bado zinatuhathiri mpaka kwenye chaguzi zetu leo. Na maana ya separations of power kumekuwa amna, accountability na uozo mwingi unaoendelea leo chini ya katiba yake na staili yake ya kuweka jeshi, polisi na bunge lake yeye, since not much as changed since then in terms of governance except wahuni leo ndio wameshika nchi hivyo hizi ni by product zake. Ni sawa kumlaumu kichaa akisha mtandika mtu na rungu, lakini aliyemkabidhi rungu nae has to be blamed.
Tukija kwenye social life alishindwa ku-balance matumizi ya vipaji na ku-invest kwao na hizi ndio hathari za leo wengi either kuwa wame-lost au wamewahi kwenye siasa; kufupisha maandishi kwa sasa niishie hapa na hili.