Nyerere: Salaam zenu mnaomkejeli!

H
Ndiyo maana nikasema, kama tungekuwa na Free Market basi tungeweza kuuza mazao yetu kwa kuwa ecfficiency zaidi, na bei ya kuuza pia ingekuwa ndogo sana; ambapo hata mnunuaji hawezi kulalamika.

Una mifano juu ya hili? kuuza mazao in what context, settler economy under hiyo free market kama kenya na zimbabwe? efficiency for who? A settler or a labourer who doesnt own land; jaribu kuelewa mazingira ya kilimo unachokitamani, ndio maana hata Tanzania ya leo, hao unaowaona ni bora chini a soko huria kiuongozi, haujiulizi kwanini bado serikali inaendelea kumiliki ardhi under free mkt? kwanini peasant holdings chini ya hiyo free mkt tanzania haibadilishwi iwe kama unavyotana wewe in the name of efficiency? kwanini viongozi wa sasa wanaacha yale yale ya nyerere katika kilimo? najua kwa sababu hauna uelewa kwanini, utapelekea visingizio kwamba ni mwalimu aliacha hiyo system, na aliharibu; ukitamka hilo, im going to rest my case on this issue btn me and you; otherwise text book knowledge haina maana kama haipo practical, usisome tu vitu na kuvilazimisha in contexts ambazo haziendani na such theories..............
 
.... mwalimu alikataa mpaka wakati anaondoka, mwinyi akakubali; madhara ya devaluation ni kwamba - badala ya wakubwa nje kununua kilo moja ya kahawa kwa dollar moja for example, sasa wananunua for senti 50 or even less
Nyerere aligoma kitu ambacho china wanagoma sasa
 
Unazidi kujichanganya - nimekuuliza kuhusu Kenya na Zimbabwe, haujajibu; hapa hatubishani juu ya umuhimu wa efficiency katika kilimo, tunaiangalia katika historical context ya Tanzania; wewe unatoa hoja based on text book efficiency, na unapokuta neno hilo likijadili mapungufu ya kilimo enzi za ujamaa, unakuja na hoja completely way out of context;

Efficiency ni ratio ya output to input; wakoloni waliacha what ratio? Nyerere alipochukua nchi, nini kilibadilika? tunaona katika takwimu jinsi gani1960s and 1970s especially during Ujamaa how productivity ya kilimo was high, na wewe unasema una data, so lazima umeona hilo; tuli experience a boom in exports kwa kipindi kirefu sana kwa sababu ya high productivity (efficiency) and favourable prices in the world mkt (za mazao ya kilimo); kwa kifupi, data shows picha ambayo ni completely different from hoja yako juu ya efficiency;

In the late 1970s, matatizo yakajitokeza, kwa mfano, bei za mazao zikashuka soko la dunia - mkandara kalieleza vizuri sana; pia zao kuu in terms of our export earnings (sisal), likapata a substitute ghafla ya synthetic fibre, na kupelekea bei ya sisal kuanguka vibaya sana; Oil shock ikaja, na sisi we were importing oil (as we still do now), tukajikuta kilimo hakizalishi vya kutosha kumfanya mwalimu aendelee kutoa huduma za afya, elimu, maji kama alivyoahidi wakati wa kupigania uhuru; kilimo kushuka pia ikapunguza mapato ya kuendeleza viwanda ambavyo vilihitaji malighafi; sasa suala la efficiency ndio likaanza kuwa na matatizo hapa; na haikuwa Tanzania tu, bali nchi zote zilizokuwa zinategemea kilimo; pamoja na hayo, WEST still wanted our coffee, tea, tobacco, pyrethrum etc, na wakapata njia ya kutubana kwani sasa hatukuwa na uwezo wa ku export kwa wingi ili tupate forex, so as a condition kutusaidia, wakatulazimisha to devalue our shilling to a dollar ili our products ziwe cheaper to them; mwalimu alikataa mpaka wakati anaondoka, mwinyi akakubali; madhara ya devaluation ni kwamba - badala ya wakubwa nje kununua kilo moja ya kahawa kwa dollar moja for example, sasa wananunua for senti 50 or even less;

Efficiency uizungumzie kwa maana hiyo, sio kwa maana ya upotoshaji kama unavyofanya; the west never stopped to demand our mazao ya kilimo, and low efficiency kilimo made them even want them crops more and more and more and at a much much cheaper price;

Nani anaejichanganya ni mimi au wewe (nyinyi). Nilijua focus ni TZ, sasa mbona unataka kwenda Kenya, Zimbabwe.

Umechanganya mambo mengi sana. Anyway, naona unagree kwamba Kilimo kilishindwa kukamilisha agenda za Mzee Nyerere.

Also, kuhusu kudevalue shillings, naona umechanganya mambo. Unasema the reason kudevalue shilling yetu ilikuwa ni kwa ajili ya cheap export?

Naona hata Nyerere mwenyewe angekupinga. Hiyo haikuwa the reason. Nyerere alishindwa kuongoza nchi. Viwanda vilikuwa havina vifaa, haviwezi kujiendesha. Nchi kwa ujumla ilikuwa ktk hali mbali sana ndiyo maana ikabidi Mzee Mwinyi akubali masharti IMF ya kubinafsisha viwanda na mashirika ya umma ili nchi ianze kupata misaada.

Hapo ndipo nakuambia kuhusu Efficiency. Kwamba Ujamaa hauna Efficiency na wewe mwenyewe umekiri kwamba kilimo kilikuwa hakizalishi vya kutosha. Maanake Inefficiency.
 
In the late 1970s, matatizo yakajitokeza, kwa mfano, bei za mazao zikashuka soko la dunia - mkandara kalieleza vizuri sana; pia zao kuu in terms of our export earnings (sisal), likapata a substitute ghafla ya synthetic fibre, na kupelekea bei ya sisal kuanguka vibaya sana; Oil shock ikaja, na sisi we were importing oil (as we still do now), tukajikuta kilimo hakizalishi vya kutosha kumfanya mwalimu aendelee kutoa huduma za afya, elimu, maji kama alivyoahidi wakati wa kupigania uhuru; kilimo kushuka pia ikapunguza mapato ya kuendeleza viwanda ambavyo vilihitaji malighafi; sasa suala la efficiency ndio likaanza kuwa na matatizo hapa; na haikuwa Tanzania tu, bali nchi zote zilizokuwa zinategemea kilimo; pamoja na hayo, WEST still wanted our coffee, tea, tobacco, pyrethrum etc, na wakapata njia ya kutubana kwani sasa hatukuwa na uwezo wa ku export kwa wingi ili tupate forex, so as a condition kutusaidia, wakatulazimisha to devalue our shilling to a dollar ili our products ziwe cheaper to them; mwalimu alikataa mpaka wakati anaondoka, mwinyi akakubali; madhara ya devaluation ni kwamba - badala ya wakubwa nje kununua kilo moja ya kahawa kwa dollar moja for example, sasa wananunua for senti 50 or even less;

Efficiency uizungumzie kwa maana hiyo, sio kwa maana ya upotoshaji kama unavyofanya; the west never stopped to demand our mazao ya kilimo, and low efficiency kilimo made them even want them crops more and more and more and at a much much cheaper price;

Hivi mtu unaweza laumu soko huria kwa kanuni zake if anything ever goes wrong. Technical advantages and new innovations are bound to have an impact on the commodity so as the economical downturns lakini hiki sio kisizingio cha miaka itakayo fuatia. Kila siku wazungu wanakumbwa na matatizo haya haya ya uricanes, floods and all sorts of natural disastrous which have huge implications on the market and social but they get over them. Mwalimu was just not a good a leader that is the only justification for not having a plan.

Si ajabu huyo mwalimu akasema his plans were a failure na kuamua kujiuzulu worst of his governance style followed the same path which is affecting us today.
 
Una mifano juu ya hili? kuuza mazao in what context, settler economy under hiyo free market kama kenya na zimbabwe? efficiency for who? A settler or a labourer who doesnt own land; jaribu kuelewa mazingira ya kilimo unachokitamani, ndio maana hata Tanzania ya leo, hao unaowaona ni bora chini a soko huria kiuongozi, haujiulizi kwanini bado serikali inaendelea kumiliki ardhi under free mkt? kwanini peasant holdings chini ya hiyo free mkt tanzania haibadilishwi iwe kama unavyotana wewe in the name of efficiency? kwanini viongozi wa sasa wanaacha yale yale ya nyerere katika kilimo? najua kwa sababu hauna uelewa kwanini, utapelekea visingizio kwamba ni mwalimu aliacha hiyo system, na aliharibu; ukitamka hilo, im going to rest my case on this issue btn me and you; otherwise text book knowledge haina maana kama haipo practical, usisome tu vitu na kuvilazimisha in contexts ambazo haziendani na such theories..............

Mimi ninapoangalia kilimo naangalia kilimo cha Commercial Agriculture with advance technology. Tuna ardhi kubwa ambayo kama itainvestiwa kwa uangalifu especially na investor ambao watakuwa na genda za kumaximize profit na siyo kama vile subsistence agriculture ambapo wakulima wengi escpecially wakati wa Ujamaa walikuwa wanalima kwa msimu mpaka msimu.

Is non issue kama unataka kila mkulima aown ardhi wakati hawezi kuitumia. I'm Pro Market Economy- kwa hiyo najua faida zake na hasara zake. Serikali kumiliki ardhi hiyo sera tangu enzi za Ujamaa.

Viongozi wa leo kuacha yale ya Nyerere, najua unajua jibu lake nini.
 
Ujamaa hauna Efficiency na wewe mwenyewe umekiri kwamba kilimo kilikuwa hakizalishi vya kutosha. Maanake Inefficiency.

Sio kweli kuwa ujamaa hauna efficiency. Ni hulka ya ubinfsi wa binadamu. Hata ubepari unafail. Mabenki magpi ya USA na UK chini ya ubepari yamekuwa baied OUT na pesa za walipa kodi je hiyo ndiyo efficiency. una mabneki huo ulaya sasa hivi ni kama ya kijamaa .Nyerere alone asigeweza fanya miujiza.

So kufilisika kwa THB inaweza kunekana kama ni sera mbovu za nyerere na ujamaaa Lakini ukitazama na ukiacha ushabiki utagundua ilikuwa ni sera sahihi
 
Nyerere aligoma kitu ambacho china wanagoma sasa

Nyerere hakuwa ktk position ambayo China wapo leo. TZ haikuwa na uchumi mzuri wakati Nyerere anapewa hiyo deal ya IMF. China ya leo wana jeuri kwa sababu ya uchumi wao. TZ haikuwa na other option. Ndiyo maana Mzee Nyerere alikubali kushindwa- nampa credit ya kukubali matokeo. Akamwachia Mwinyi nchi taabani, Mwinyi akaamua kuchukua deal ya IMF.
 
Sio kweli kuwa ujamaa hauna efficiency. Ni hulka ya ubinfsi wa binadamu. Hata ubepari unafail. Mabenki magpi ya USA na UK chini ya ubepari yamekuwa baied OUT na pesa za walipa kodi je hiyo ndiyo efficiency. una mabneki huo ulaya sasa hivi ni kama ya kijamaa .Nyerere alone asigeweza fanya miujiza.

So kufilisika kwa THB inaweza kunekana kama ni sera mbovu za nyerere na ujamaaa Lakini ukitazama na ukiacha ushabiki utagundua ilikuwa ni sera sahihi

Unajua vitu vinavyomilikiwa na Serikali vinakuwa vina mlolongo mrefu. Hata ktk nchi zilizoendelea. Hiyo ni moja ya sababu kubwa ya kushindwa kwa Ujamaa. Bureaucratic, inefficiency vyote vinaongezeka zaidi ktk Ujamaa.
 
Mimi maana chuki kidogo kwa upande wa Waislamu kwa ajili ya Nyerere!

Pamoja na Lumumba, Sankara, Nyerere ni nyeusi favorite african kiongozi bila kujali, Nyerere alisimama kwa ajili ya watu weusi wa kwanza kabla ya dini yoyote au vinginevyo!

Nyerere pengine ni rolling katika kaburi dakika hii!
 
Nyerere hakuwa ktk position ambayo China wapo leo. TZ haikuwa na uchumi mzuri wakati Nyerere anapewa hiyo deal ya IMF. China ya leo wana jeuri kwa sababu ya uchumi wao. TZ haikuwa na other option. Ndiyo maana Mzee Nyerere alikubali kushindwa- nampa credit ya kukubali matokeo. Akamwachia Mwinyi nchi taabani, Mwinyi akaamua kuchukua deal ya IMF.

Sio suala a postion ni suala la maslahi ya taifa, timing na mzingira sio kweli uwa hakukuwa na other option labda kwa watu amabo wanafikiria leo na kesho tu.

Sasa ukisema jeuri ya china unaweza kujua china wameptia hatu gani mpaka kupat hiyo jeuri. leo hii. China walikuwana viogzi waliongalia miaka 50-100 mbele. sio viogozi wa miak mitano a wachna wamepata shida sana na ndio wanaana ufadi matunda.
 
Vijiji vya Ujamaa na Ubabe wa Nyerere

These and similar studies suggest that the failure of the Ujamaa scheme was predicated on a number of salient a priori and

empirical factors. Three of these factors are pertinent to this discourse. First is the argument that the initiative to start Ujamaa villages did not come from rural peasants. The scheme failed to gain the necessary ideological
acceptance among the vast majority of the peasantry. Right from the beginning, the dominant attitudes of the people ranged from skepticism and mistrust to outright resentment and opposition (Lofchie, 1978: 452). Secondly, the use of coercion to ensure mass villagization - from threats of forced transportation to short prison sentences under the pretext of tax arrears -
militated against the effective operation of Ujamaa villages. Finally, the efforts at building Ujamaa villages were greatly constrained by bureaucrats who held out government aid as incentives to peasants to move into villages.
 
Hapo ndipo unashindwa kuelewa point kamili kabisa. Mteja anapotaka kununua bidhaa zako kwa bei rahisi zaidi ya vile ulivyotengenza; basi lazima ujue kuna tatizo ambalo wewe kama mzalishaji unalikosea. Na moja ya hilo la tatioz ni kutokuwa Efficiency.

Ndiyo maana nikasema, kama tungekuwa na Free Market basi tungeweza kuuza mazao yetu kwa kuwa ecfficiency zaidi, na bei ya kuuza pia ingekuwa ndogo sana; ambapo hata mnunuaji hawezi kulalamika.

Pumba at its best!
 
Unajua vitu vinavyomilikiwa na Serikali vinakuwa vina mlolongo mrefu. Hata ktk nchi zilizoendelea. Hiyo ni moja ya sababu kubwa ya kushindwa kwa Ujamaa. Bureaucratic, inefficiency vyote vinaongezeka zaidi ktk Ujamaa.

Sio Ujamaa matatizo ni watu. UK nasikia sera ya kijamaaa ya afya. Obama naye kachukua.Ineefficiency yetu iko weye ubong si sera ya ujamaa wala ubepari.

Ni watu wachache au wengi kwenye system ya ujamaa ndio waliukwamisha . kusema hivyo sio kwamba tungekuwa na ubepari tungekuwa na nafuu No. tungekuwa na nafuu ndogo tu tena kwa wachache. Chukulia mfano wa US Vs Norway . kwa sera y ubepari Tanzania ingekuwa na matabaka kuik hata yale ya Kenya
 
M right
Unajua china wakati inaazna kutambaa Jeshi ndio lililokuwa inamiliki viwanda vikubwa vya uzalishaji (Ujamaaa). Haya sisi hata jeshi letu kama seriali halina ujama tena. Ni expediture kwa kwenda mbelekama wanasiasa. Bora wakati wa nyerere lilzalisha hata mazao
Nyumbu ngapi tumetengeza.- utasema sio efficient au hatun wataalam Au ni za maonyesho.
 
Tumejaribu kujenga UJAMAA kwa miaka 18 tu (1967-1985). Mnasema tumeshindwa. Fine. Tunajenga ubepari sasa na vikorombwezo vyake tangu 1986 hadi leo miaka 25 sasa( robo karne). Tumethubutu, tumeweza? Tunasonga mbele kweli? Matabaka sasa ni balaa na wazi zaidi kuanzia kwenye huduma za jamii kama elimu, matibabu (wamekuja NHIF na kadi zao za brown na kijani), starehe na kumbi za starehe, harusi na misiba sasa ni tofauti kwelikweli, mafuriko ya jana na juzi hapa Dar wanaoonekana juu ya mapaa mabovu mnawaona,...
Tutamkumbuka tu Mwalimu hata bila kumwita Baba wa Taifa.
 
Umeandika kwa wingi, and yote unajua majibu yake. Sema nitakujibu hilo kwenye red.

Kwanza lazima ujue huwezi kucompare nchi nyengine na TZ. Sisi TZ tumebarikiwa zaidi kuliko nchi nyingi duniani. Kama tungeanza Free Market siku nyingi; basi nchi yetu ingekuwa mbali sana. Tuna ardhi kubwa, tusingekuwa tunatumia Jembe mpaka leo. Tungeadvance zaidi ktk commercial agriculture. Tungeweza kuprovide chakula Afrika au dunia nzima, na tunegpata opportunity hii kwa sababu nchi nyingi za Afrika na Dunia zilikuwa zina matatizo.

Also, tungeinvest kwenye R&D kama ilivyo kwa nchi zenye Free Market, na tungekuwa mbali ktk creativity. Siyo sasa hivi tunategemea kucopy kama vile nchi nyingi tu zilizokuwa na Ujamaa. Elimu ya Ujamaa inamfanya MTZ asiweze kufikiri in a big picture zaidi ya kuwa na agenda ile ile tu so called "Zidumu fikra za Mwenyekiti"
Naona htuataki kuelewa au hujaelewa. Swali langu naliweka katika simple way. Kenya na Uganda ambao ni majirani zetu na tunamhusiano makubwa ya kijamii ambazo zilikuwa na free market kuanzia wakati huo zimefanikiwa kiasi gani ili tuweze kusema umasikini wa Tanzania kama zao la ujamaa ni mbaya zaidi ya ule wa Kenya.

Pili, lini nyerere alikataza watu wasilime kwa matrekta. Unakumbuka Azimio la Iringa na Moshi yanasemaje.
Jiulize miaka 25 baada ya Nyerere na 10 baada ya kifo kitu gani kinatuzuia tusiitumie ardhi hiyo ili hali ujamaa umekufa kabisa.

Kuhusu R& D ni nchi ipi inaweza kusema imewkeza sana na imefanikiwa miongoni mwa majirani zetu.

Labda nikudokolee kidogo, Tanzania leo hii ina jeuri ndani ya EAC kwasababu moja, nayo ni heshima ya kusimama kama taifa. Ungekuwepo mwaka 1977 wakati Kenya wanaua EAC na kuzuia kila kitu ungeelewa tunasema nini. Nchi ilikuwa haina kitu chochote.
Mwalimu akaitoa hapo na sasa tunasimama na kuwaambia wakenya hatuwategemei na tunaweza peke yetu.

Changamoto za vita halafu EAC na uchumi wa dunia kwa ujumla ungemkuta mpuuzi taifa hili lisingekuwepo.
Huu ni ukweli hata akina Kikwete wanaukubali ukiwauliza. Bahati nzuri yalitokea wakati wa Baba wa Taifa.
 
Mr. Right

Naomba tujudaliane kidogo labda tutaeleweshana; nimekusoma naona kuna kijichanganya kidogo; nimeona umesema wewe ni pro free market economy; mpaka hivi sasa tunapoongea free market economy ipo kwenye vitabu tu ni theory na utekelezaji wake ni mgumu naweza kukupa mfano mwaka huu Lockheed Martins walishinda tenda ya kutengeneza ndege za kujaza mafuta kwa matumizi ya jeshi la Marekani; ilionyesha dhahiri wao tenka zao ni bora na za gharama nafuu ukilinganisha Boeing; mara baada wizara ya ulinzi kuipa Lockheed tenda hiyo Bunge lilingilia kati na kuinyanga`nya Lockheed tenda kwa sababu za kuilinda Boeing kibiashara; ipo mifano mingi serikali ya Marekani imetoa tenda kwa makampuni kadhaa bila kuwepo kwa ushindani wa kibiashara, swali la msingi inakuwaje hapo kwenye free market pia kuna kulindana? Naamini umeshawahi kusikia vitu kama tarrifs, import quarters; hakuna hata nchi moja ya magharibi ambayo haina vitu hivyo je kwa nini wasiruhusu bidhaa zisitoke nchi moja hadi nyingine bila mikingamo? Ukweli hiyo free market wanaoyoihubiri sisi tuifuate wakati wao wenyewe wanaitekeleza kinadharia ; pia hakuna hata nchi moja ya kiafrika yenye uwezo wa kushindana na nchi za magharibi kwenye bidhaa za viwandani, wao walipolenga Afrika tuwe na free market lengo hasa ni kwa makampuni yao kuuza bidhaa zao Afrika.
Kwa nini Mwalimu Nyerere alikazania kilimo? Jibu ni rahisi wakati tunapata uhuru sekta viwanda ilikuwa duni kumbuka waingereza hawakuwa watawala walikuwa ni caretaker; waliwekeza zaidi kwenye makoloni yao kenye; Uganda na kwingineko ni kama vile unapopata jukumu la kumlea mototo wa jirani; mfano Kenya baada ya uhuru ilikuwa na miundo mbinu bora kuliko Tanganyika yote hayo si kuwa Mzee Jomo Kenyatta alifanya kazi ya ziada kuliko Mwl. Nyerere bali alirithi miundo mbinu bora.Kilimo ilikuwa ndio njia pekee ambayo ingeweza kutuokoa kiuchumi; na kutufanya tusiwe na tatizo la ajira; mpaka hivi sasa kilimo kinaajiri zaidi ya 60% za wakazi wa sub sahara Afrika; suala la vijiji vya ujamaa hilo labda nikueleweshe na nina uhakika Mkandara ama Mchambuzi waliligusia wengi walilipinga vijiji vya ujamaa lakini ukweli leo Tanzania imetengamaa kwenye kilimo kwa vijiji vya ujamaa ambavyo Mwalimu Nyerere alivianzisha kama vingekuwa vibaya basi wengi wangerejea kwenye utaratibu wao maisha kabla ya vijiji vya ujamaa.
Umekuwa ukisema eti Mwalimu Nyerere alifeli huo ni mtazamo wako nikiangalia nchi za sub Sahara Afrika Tanzania ya Mwalimu Nyerere ilikuwa bora zaidi ya nchi nyingi sijui kama umewahi kutembelea nchi za kiafrika na hapo ndipo utapoona matunda ya ile sera ya Mwalimu maendeleo mikoani; alijaribu kuhakikisha kila mkoa unakuwa na sera ya maendeleo. Lengo kuu la Mwalimu ilikuwa kuhakikisha tunakuwa ya wakulima na wafanyakazi. Mwalimua alipigwa vita sana na nchi za magharibi kwani alikuwa anahatarisha maslahi yao na hiyo ndiyo iliyopelekea kuhitilifiana na vyombo kama IMF na WB.
Kila mfumo una matatizo yake hata kwenye nchi zilizoendelea kuna matatizo ya mfumo wa kibepari si kila mtu anauafiki; je ni kwanini Taifa kubwa kama Marekani linapigania kuwepo kwa middle class? Kwa nini hawapiganii kila mtu awe milionea? Ama labda nikuulize nchi za kipebari kama Spain na Italy uchumi wao umeanguka kwa kiasi kikubwa ni kipengele gani kilichopo kwenye msahafu wa ubepari ambao hakikufuatwa?
Hili somo ni linahitaji fikra pevu ukirupuka Nyerere Nyerere hutatalielewa; ichukulie JF kama ni uwanja wa kuelemishana na si lazima tukubuliane katika kila jambo ila njoo na hoja.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Waberoya:

Baada ya kusema hayo, ningependa kusikia juu ya mtazamo wako: Kwa Tanzania, ni vigezo gani vingekuwa sahihi kwa Nyerere kuitwa FATHER OF THE NATION na ni Vigezo gani ni sahihi kwa sasa kutumia Neno FOUNDING FATHERS?
Ni matumainu yangu kwamba nimegusia maeneo yote muhimu ambayo yanahitaji majibu yangu ya haraka, mengine tutaendelea kujadili kadri tunavyopata nafasi.

Mkuu Nyerere kwa alivyoiweka Tanzania anatakiwa awe miongoni mwa founding fathers

where is karume? au Nyerere ni baba wa taifa lipi, Tanzania au Tanganyika ambayo haipo?

Yaani jumla ya Tanganyika na zanzibar inaunda Tanzania yet baba wa taifa atoke tanganyika tu? ndio maana nikaweka founding father..
kwa sababu hiyo ..Huku kwetu visiwani hakuna anayemtambua Nyerere kama baba wa TAIFA. Nimekazania sana logic zaidi kuliko maneno, ila kwao karume sr ndiobaba wa taifa.

Kwa mtazamo wangu, baba wa taifa ina sound vyema kama katika taifa hilo race/kabila ni moja, siyo kwa taifa letu kama hili ambalo tuna makabila na dini nyingi. kwa stability ya taifa tulitakiwa tuwe na founding fathers. Nadhani unasikia kwenye mihadhara na wengine wanasema humu haiwezekani mkatoliki kuwa baba wa taifa!! hii itaendelea tu whether you agree with them or not.


cheers
 
Mkuu wala usiende mbali zaidi, majuzi tu kampuni ya Kiswedish ya Saab imeenda bankrupt na sababu sio demand wala supply isipokuwa hiyo kampuni iliuza share zake kwa China na kusudi wasiende chini lakini GM wameweka ngumu kwa kampuni hiyo kwa madai kwamba hawataki technologia yao iende China. Matokeo yake Saab imekufa na kuathiri mashirika yake mengine kama Saab -Scania, Automobiles AB, Saab Automobile Tools AB, Saab Powertrain AB na mashirika mengine yanayotengeneza vipuli, dealers na kadhalika yaani chain ya walioathirika wala haina hesabu makampuni yameenda bankrupt within few days..Huu ni mfano hai kabisa ambao hauhusiani kabisa na demand and Supply na wala huwezi kusema Saab wame fail kutokana na kutoweza kusupply au demand kushuka...kilichotokea ni kushindwa ku secure funds toka GM na kujitoa kwa GM kwa sababu za kisiasa wakati sote hapa tunajua fika market ya Scania kwetu Africa. Na wala haina maana Saab hameshindwa kutengeneza good cars au kuleta faida kwa sababu tu tunasoma kwamba wamefilisika.

Ila jambo moja naweza kubaliana na hawa jamaa nalo ni kwamba UJAMAA ulishindwa! Ulishindwa ktk vita baina yake na Free market kisiasa. Hilo halina ubishi kwa sababu ulipigwa vita na ktk vita hiyo nchi zote za kijamaa ziliathirika na kuacha mfumo huo ingawa walikuwa na hakika ungeweza kufanikisha maendeleo yao kama vile vita ya GM kwa Saab. Hivyo tunachojaribu kuwafahamisha nduigu zetu ni kwamba ni muhimu zaidi kwenda deep kutazama sababu maana mfumo wa free market economy ulikuwepo hata kabla ya Adam Smith isipokuwa haukuwa ktk vitabu. Na Ujamaa ulikuwepo hata kabla haujawekwa ktk vitabu, muhimu ni WATU na MAZINGIRA yake hivyo ilifika wakati ambao Ujamaa usingeweza kutusaidia kitu baada ya vita kubwa ya EAST vs WEST kuhusiana na mfumo wa kiuchumi ukawezesha the fall of USSR na wakagawanyika..

Yes, Ujamaa ulikufa na ingekuwa ujinga mkubwa kwa Nyerere kuendelea na Ujamaa wakati hakuna mfanyabiashara yeyote anaafikiana na mfumo uliokufa ni sawa na leo nambie nikanunue shares Saab Scania. It was the right time mwalimu alijiengua kama walivyofanya Russia, China, na nchi kibao za kijamaa na viongozi wao didn't fail kwa sababu hadi kesho China watamheshimu MaoTse Tung kama baba wa Taifa lao...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom