jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Wakuu magwiji wa historia, nimekutana na ubishi mkubwa sana, kuna mtu amedai kuwa hayati Julius Kambarage Nyerere, aliyekuwa Rais wa jamuhuri wa Tanzania hakuhudhuria sherehe za uhuru wa Zimbabwe, nakualikeni mnaoijua historia mtuondolee utata huu, watu wanaweza kung'oana macho mkichelewa kuleta jibu au hata ikiwezekana kapicha ka mnato.