Dotto C. Rangimoto
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,985
- 1,282
sijui unachoongea kama kinatekelezeka #lema week zilizopita alilia lia mishahara ya wabunge iongezeke,wawe na maslahi makubwa,BORA HATA SHIBUDA AMBAYE ALILIKAA SUALA LA KUKANA SITTING ALLOWANCE MAPEMA.............TUKAMUONA MSALITI,LAKINI CHAKUSHANGAZA WABUNGE WA CDM WALIFUATA NYAYO ZAKE KIMYA KIMYA KWA KUCHUKUA POSHO ZAO
suala hili si la wabunge wa chadema, suala hili ni la chama na kiukweli ni SERA. Kukosea kwa Rema si sababu ya kubeza sera hii nzuri ya CHADEMA. Lema si CHADEMA ila Lema ni mwanaCHADEMA na kamanda.
Umeniwahi.Je huo mshahara aliokuwa anaoupata Nyerere ambao ulikuwa mkubwa kuliko wa Kikwete aliurekebisha au aliishia kusema tu?
bora ulipokubali kama lema alikosea,safi sana huo ndo uungwana wa kujenga hoja
Lema hajakosea, jifunzeni kumwelewa mpigania haki za binaadamu huyu mkapate kujua baadhi ya mbinu mnaweza kuzitumia mkiweza kuzitafsiri.
Eleweni kuwa budget ya hizo posho ishatengwa kisheria, hukosei kuichukua, kwa kuwa ukiiacha itarejeshwa kimya kimya hazina ambako inaweza isifike, wakapewa akina Mwigulu Nchemba wakanunulie mabom china waje kuwalipua.
kwahiyo kwa kuwa ni haki ya kisheria kuchukua hizo posho kwa sasa, ni heri Lema achukue ili ajaze mafuta kwenye gari lake achanje mbuga kuwafikia wapiga kura awape elimu ya uraia.
Tunapigania sheria ibatilishe posho!!!!
sijui unachoongea kama kinatekelezeka #lema week zilizopita alilia lia mishahara ya wabunge iongezeke,wawe na maslahi makubwa,BORA HATA SHIBUDA AMBAYE ALILIKAA SUALA LA KUKANA SITTING ALLOWANCE MAPEMA.............TUKAMUONA MSALITI,LAKINI CHAKUSHANGAZA WABUNGE WA CDM WALIFUATA NYAYO ZAKE KIMYA KIMYA KWA KUCHUKUA POSHO ZAO
hivi lema si ni cdm?
sasa mbona anashabikia ujinga?
ama kweli cdm imeharibikiwa jamani!
Acha kuchanganya udhaifu wa Mwanachama na utendaji wa taasisi nzima kwa ujumla wake.