Dotto C. Rangimoto
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,986
- 1,282
"Mshahara wangu ni Shilingi elfu tano kwa mwezi. Shilingi elfu tano katika nchi masikini. Masikini anayepata shilingi mia mbili tu kwa mwezi itamchukua miaka 25 kufikia kiwango cha mshahara wangu kwa mwezi. Ndiyo, nakubaliana na nyinyi kwamba tunalipana (viongozi) mishahara mikubwa mno, na nitahakikisha mishahara hii tunayolipana inarekebishwa." - See more at: Raia Mwema - Mishahara ya Pinda, Kikwete inajadilika, tusihofu kuijadili!
Wakati Nyerere alikuwa na fikra hizo kipindi ambacho uchumi wetu ulikuwa mzuri ukilinganisha sasa, lakini viongozi wetu wasasa povu zinawatoka kwaajili ya posho na kujiongezea mishahara pamoja na kwamba hali ya maisha ya mtanzania ambaye ndiye mbeba gharama hizo ni duni kupita kiasi.
Nashukuru tuna chama chenye kuona haja ya kushusha mishahara ya viongozi wa kisiasa na kuondoa posho za kuketi kikao ambacho ni sehemu ya kazi ambayo kwayo viongozi wa kisiasa hupata mishahara yao. Safi sana CHADEMA, niko na imani ikichukua Dola hichi kitakuwa kitu cha kwanza, na itakuwa vizuri sana vyama vingine vikiiga hili.
Njano5.
0655345394
Wakati Nyerere alikuwa na fikra hizo kipindi ambacho uchumi wetu ulikuwa mzuri ukilinganisha sasa, lakini viongozi wetu wasasa povu zinawatoka kwaajili ya posho na kujiongezea mishahara pamoja na kwamba hali ya maisha ya mtanzania ambaye ndiye mbeba gharama hizo ni duni kupita kiasi.
Nashukuru tuna chama chenye kuona haja ya kushusha mishahara ya viongozi wa kisiasa na kuondoa posho za kuketi kikao ambacho ni sehemu ya kazi ambayo kwayo viongozi wa kisiasa hupata mishahara yao. Safi sana CHADEMA, niko na imani ikichukua Dola hichi kitakuwa kitu cha kwanza, na itakuwa vizuri sana vyama vingine vikiiga hili.
Njano5.
0655345394