Nyerere azidi kumkaba Mkapa ataka kiongozi huyo aondolewe pensheni yake

Wenzetu wa Malawi waliweza kumuondolea pensheni rais mstaafu kwa kushiriki siasa akiwa mstaafu.
Watanzania bana!

Katiba mpya itabidi ieleze wazi kuwa kiongozi akistaafu,marufuku kujihusisha na siasa.Badala yake ajikite kwenye mambo ya kijamii ya kitaifa na kimataifa,au akae kimya kabisa amalizie maisha yake kwa amani na utulivu.
 
Back
Top Bottom