"HIVI MKAPA KWANINI ULIMUUA BABA WA TAIFA!!?"
Huyu dogo hatokuacha kamwe hadi useme ukweli toka rohoni mwako na UTUBU!! Ole wako ujifanye kumjibu........!!!
Ulidhani yameisha!!? Dogo ana sapoti kubwa ya ukweli, na familia inamtumia kama chambo, sasa ropoka uone!!
hahahahahahhahaahaa,mzee naona hii mada umeipenda sana na unamkaba jamaa kiukweli
wacha kiroho kimuume muuaji mkubwa huyo, mkwapa
Walipwe na vyama vyao kwa maana ya mshahara na marupurupu mengine. Pension huwezi kumuondelea au useme alipwe na chama hiyo itakuwa ni kumuonea.
Baba yake alikuwa campaigner mkubwa wa CCM toka alipostaafu mwaka 1985 na 1990
Nani anabwatuka hapa kati yangu na wewe? Vyama vingi vimekuja 1992 na Nyerere alimpigia kampeni Mkapa wa CCM mwaka 1995. Acha kuchemka wewe mjomba mtupu wewe...Usibwatuke..
By then kulikuwa na vyama vingapi kisheria?
mkuu mbona unabadilika badilika sana, be certain plzSiku zote mi huwa nasema kwamba hili lijibwa mkapa ni lichawi sana na jambazi kubwa la rasilamali zetu so tuliache tu lipate vidonge vyake hadi life kwa pressure na ikidi baada ya hapo twende over-politics tufanye uchaguzi mdogo wa Rais mstaafu ili tumchague hata wasira kuliko hili jambazi undertaker.
BIGUP NYERERE.
vicent kampiga knock nut mkapa!hatokuja shiriki kampeni yoyote tena,i believe
lakini nae alipigia kampeni CCM wakati analipwa pensheni. Ni kupenda pengo unaita mwanya.Ila walipo boronga aliwaambia live bila kumficha mtu na unafiki unafiki wa ajabu ajabu kama huu walionao viongozi wa sasa hakuwa nao
Mtumishi wa Mungu punguza ukali wa lugha. Do!Siku zote mi huwa nasema kwamba hili lijibwa mkapa ni lichawi sana na jambazi kubwa la rasilamali zetu so tuliache tu lipate vidonge vyake hadi life kwa pressure na ikidi baada ya hapo twende over-politics tufanye uchaguzi mdogo wa Rais mstaafu ili tumchague hata wasira kuliko hili jambazi undertaker. BIGUP NYERERE.
lakini nae alipigia kampeni CCM wakati analipwa pensheni. Ni kupenda pengo unaita mwanya.
Hoja yenu si ni pensheni irudishwe au Raisi mstaafu asipigie kampeni chama chake tu "kama Marais waliopita..." ndivyo alivyosema Vincent "kama Marais waliopita."
Well, kwenye kampeni za CCM baba yake alikuwa karata ya dume la jembe la CCM kwenye kampeni alipostaafu.
Hoja ya Vincent masikini ya Mungu inaharibika hapo tu, hata Baba yake mkubwa did the same!
mkuu mbona unabadilika badilika sana, be certain plz
Mtumishi wa Mungu punguza ukali wa lugha. Do!
Wenzetu wa Malawi waliweza kumuondolea pensheni rais mstaafu kwa kushiriki siasa akiwa mstaafu.
Watanzania bana!