eliesikia
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 787
- 755
Nimekumbuka ujumbe wa Mwl Nyerere kabla ya kung'atuka aliporusha dongo kwa wapambe wake waliomshauri abaki madarakani kwa kuwa ana afya, uwezo na wananchi wanamuhitaji sana kama kiongozi wao mzalendo.
Mwalimu aliwaambia wapambe wake hapana na wasiwe na wasiwasi kwamba akiondoka labda ajae hatawapa madaraka bali wajithamini kama nao wanapaswa kung'atuka kama yeye.
Alirudia tena stori yake mwaka 1992 au 1991 hivi akiongelea ishu ya vyama vingi na uoga wa Chama kushindwa baadae.
Nawasilisha wadau. Kama kuna mtu ana video au gazeti la uhuru wakati huo naomba aweke hapa ili vijana wetu wa sasa nao wafaidike.
Mwalimu aliwaambia wapambe wake hapana na wasiwe na wasiwasi kwamba akiondoka labda ajae hatawapa madaraka bali wajithamini kama nao wanapaswa kung'atuka kama yeye.
Alirudia tena stori yake mwaka 1992 au 1991 hivi akiongelea ishu ya vyama vingi na uoga wa Chama kushindwa baadae.
Nawasilisha wadau. Kama kuna mtu ana video au gazeti la uhuru wakati huo naomba aweke hapa ili vijana wetu wa sasa nao wafaidike.