Nyerere aliishi Butiama miaka 77, leo Madiwani CCM wanaikana Butiama eti haijaendelea. LAANA, au?

NYAMKANG'ILI

JF-Expert Member
Apr 1, 2012
223
112
Nimepokea kwa maskitiko taarifa kwamba madiwani wa Halmashauri ya BUTIAMA wanakataa kuhamisha makao yao kutoka MUSOMA kwenda Butiama,

(1) eti hakujaendelea

(2) eti hakufai kwa wao kuishi ............................... HII NI LAANA kwa madiwani hawa wa CCM

Enzi za MWL hawa wangetandikwa viboko...

YAANI MWL aishi BUTIAMA, azalie watoto wake Butiama, MARA KADHAA avunje NA KUTANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI akiwa BUTIAMA; KIKWETE aitishe kikao cha HALMASHAURI kuu ya CCM BUTIAMA... Madiwani wao waseme hakufai kwao kuishi.

NAWAJUA MADIWANI hawa, wengi wao hata choo hakuna nyumbani kwao... AIBU HIII
 
Ni kweli Butiama hakujaendelea siyo siri, Nyerere kwao ni Butiama ni haki yake kukaa huko miaka 77.

Usiwalazimishe watu wapapende Butiama na waseme uongo kuwa kumeendelea wakati hali halisi kumechoka.

Halafu kumbuka Nyerere alikuwa binadamu wa kawaida siyo mtume kuwa wafuate kila kitu chake.
 
Lakini hata huyo nyerere mtamsingizia kila kitu sio kila alichofanya watu wafanye hichohicho nae ni binadamu wa kawaida alikua
 
Nimepokea kwa maskitiko taarifa kwamba madiwani wa Halmashauri ya BUTIAMA wanakataa kuhamisha makao yao kutoka MUSOMA kwenda Butiama,

(1) eti hakujaendelea

(2) eti hakufai kwa wao kuishi ............................... HII NI LAANA kwa madiwani hawa wa CCM

Enzi za MWL hawa wangetandikwa viboko...

YAANI MWL aishi BUTIAMA, azalie watoto wake Butiama, MARA KADHAA avunje NA KUTANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI akiwa BUTIAMA; KIKWETE aitishe kikao cha HALMASHAURI kuu ya CCM BUTIAMA... Madiwani wao waseme hakufai kwao kuishi.

NAWAJUA MADIWANI hawa, wengi wao hata choo hakuna nyumbani kwao... AIBU HIII

Nyerere aliishi butiama na msasani aliishi nani?..waacheni watimue huko porini ambako hata nyerere mwenyewe alikua hakukubali
 
Acha ujinga wewe kutetea hoja za wanyonyaji. Kwanza unadanganya, wanaokwenda kuishi sio madiwani ni watendaji wa Halmashauri. Kikao cha madiwani kimeridhia watendaji hao wasiende kuishi huko. Serikali itimize wajibu wake iwajengee mazingira ya kufanya kazi watendaji wake. Sasa inawataka wakatumie majengo ya CCM umeona hiyo inafaa? Kule wao wanakuwa wakuja, na sio mjini hivyo hakuna nyumba bata kupangisha. Usipende kuleta habari za upande mmoja, serikali inapoanzisha wilaya na Mikoa mipya isikurupuke. Haya ndo matatizo ya kukurupuka kwa serikali yako.
 
Huyu anaesema Nyerere aliishi Butiama miaka 77 ni muongo.

Nyerere toka alipokuja Dar, butiama anaenda kuzuru mizimu ya kwao tu mpaka alipong'atuka.

Na aliyekuwa akizaa, kama kweli watoto wote wamezaliwa huko, si Nyerere ni mkewe.
 
Umasikini wa Tanzania umeletwa na mfumo wa Chama kimoja na ujamaa. CCM imechangia sana Tanzania kuwa masikini mpaka leo hii kwenye rushwa hasa kwenye nishati na kutukuwapa Watanzania matumaini hasa wa kijijini. Wanaanza kuamka sasa hivi kwasababu ya wapinzani.
 
Kuishi kwa mwakimu J K NYERERE inamaanisha kuna maendeleo?
 
Mtoa mada hujui siasa za kinachoendelea ktk ni wapi pa kujenga makao makuu ya Wilaya. Kiabakari pameendelea with all the socio-economic infrastructures in place. Mkono kwa fedha zake has been manipulating the Gvt and sm poor Councilors ili makao ya wilaya yajengwe Butiama. Cost Benefit Analysis ilishafanyika ya kufikiria kufanya Butiama iwe makao makuu ya Wilaya au ya Mji wa Kuhistoria. Butiama yapaswa kuwa developed kuwa Mji wa Kihistoria. Efforts shud b exerted towards that. Period.
 
Nyerere aliishi butiama na msasani aliishi nani?..waacheni watimue huko porini ambako hata nyerere mwenyewe alikua hakukubali
MUNGU wangu ujinga mzigo! "place of domicile" ya NYERERE siku zote ilikuwa BUTIAMA. Huko MSASANI hakukuwa makazi, lilikuwa eneo la KAZI...
 
MAWAZO MFU TUPU. Sasa huko BUTIAMA kutaendelezwa na nani?
Ni kweli Butiama hakujaendelea siyo siri, Nyerere kwao ni Butiama ni haki yake kukaa huko miaka 77.

Usiwalazimishe watu wapapende Butiama na waseme uongo kuwa kumeendelea wakati hali halisi kumechoka.

Halafu kumbuka Nyerere alikuwa binadamu wa kawaida siyo mtume kuwa wafuate kila kitu chake.
 
UPUUZI TUPU ULIOANDIKA... Usichokijua ni kama usiku wa giza, wahenga walisema... Utawezaje kuishi MUSOMA ushindwe kuishi Butiama? HUJUI kuwa umbali kati ya MUSOMA na Butiama ni karibu sawa na umbali kati ya KIMALA KWA MSUGURI DAR na KAriakoo... Kama suala ni makazi, kwa nini wasiende kufanya kazi na kurudi MUSOMA.. Usafiri wa uhakika upo... BUTIAMA kumeendelea sana, tatzo nyie mnategemea mambo ya kuambiwa ndo hayo2 unayotumia kama hoja... Ukisikia mtu akisema BUTIAMA hakuja endelea, basi na wewe unavalia bango...
Acha ujinga wewe kutetea hoja za wanyonyaji. Kwanza unadanganya, wanaokwenda kuishi sio madiwani ni watendaji wa Halmashauri. Kikao cha madiwani kimeridhia watendaji hao wasiende kuishi huko. Serikali itimize wajibu wake iwajengee mazingira ya kufanya kazi watendaji wake. Sasa inawataka wakatumie majengo ya CCM umeona hiyo inafaa? Kule wao wanakuwa wakuja, na sio mjini hivyo hakuna nyumba bata kupangisha. Usipende kuleta habari za upande mmoja, serikali inapoanzisha wilaya na Mikoa mipya isikurupuke. Haya ndo matatizo ya kukurupuka kwa serikali yako.
 
NYERERE hakuwa na mizimu ya al qaeda... Butiama ni 'place of domicile' ya NYERERE maisha yake yote...
Huyu anaesema Nyerere aliishi Butiama miaka 77 ni muongo.

Nyerere toka alipokuja Dar, butiama anaenda kuzuru mizimu ya kwao tu mpaka alipong'atuka.

Na aliyekuwa akizaa, kama kweli watoto wote wamezaliwa huko, si Nyerere ni mkewe.
 
Wanataka nani apaendeleze kwanza ndipo wahamie?

Hatusongi mbele kwa sababu ya kufikiri kuna watu wamezaliwa kuindeleza miji na wengine wamezaliwa kusubiri miji iendelezwe ndipo wahamie.

Madiwani kuhamishia halmashauri yao Butiama ingekuwa mojawapo ya kichocheo cha maendeleo Butiama.

Kajisemea Nyani Ngabu "miafrika ndivyo tulivyo"
 
Acha ujinga wewe kutetea hoja za wanyonyaji. Kwanza unadanganya, wanaokwenda kuishi sio madiwani ni watendaji wa Halmashauri. Kikao cha madiwani kimeridhia watendaji hao wasiende kuishi huko. Serikali itimize wajibu wake iwajengee mazingira ya kufanya kazi watendaji wake. Sasa inawataka wakatumie majengo ya CCM umeona hiyo inafaa? Kule wao wanakuwa wakuja, na sio mjini hivyo hakuna nyumba bata kupangisha. Usipende kuleta habari za upande mmoja, serikali inapoanzisha wilaya na Mikoa mipya isikurupuke. Haya ndo matatizo ya kukurupuka kwa serikali yako.

Jamani hebu nitoeni tongotongo. Madiwani siku hizi wanachaguliwa sehemu moja na kupelekwa kwenda kuishi sehemu nyingine. Kwani hao madiwani hawakuchaguliwa kutoka kwenye hayo maeneo ya Butiama?
 
MASKINI UJINGA MZIGO! "... Kiabakari pameendelea with all the socio-economic infrastructures in place... Butiama yapaswa kuwa developed kuwa Mji wa Kihistoria..." Kuna nini Kiabakari, bara2 ya lami, au ni2? Butiama kuna hospital, na kituo cha polisi, kuna makanisa na msikiti wa kisasa, kuna shule za kisasa za binafsi na serikali, kuna hoteli za kitalii, kuna umeme, kuna psta na simu, nk nk... Kiabakari kuna kakipande ka mlima wa Kanisa Katoliki ndo kuna guest na shule ya chekechea na zahanati... Niambie kingine kilichopo kiabakari... HAKUNA KITU KIabakari mbali na bara2 la lami la MWANZA MUSOMA... Hata Butiama nako, bara2 la MAKUTANO, BUTIAMA kuelekea ARUSHA kuna makondorasi wako kazini kulijenga kwa lami na litaunganishwa na MWANZA MUSOMA pale BUNDA...

To hell with historia, na sifa za kijinga2... watu hawali historia. Kwani BUTIAMA kuwa makao makuu ya Wilaya na Halmashauri kuna zuia nini kupafanya kuwa mji wa historia...
Mtoa mada hujui siasa za kinachoendelea ktk ni wapi pa kujenga makao makuu ya Wilaya. Kiabakari pameendelea with all the socio-economic infrastructures in place. Mkono kwa fedha zake has been manipulating the Gvt and sm poor Councilors ili makao ya wilaya yajengwe Butiama. Cost Benefit Analysis ilishafanyika ya kufikiria kufanya Butiama iwe makao makuu ya Wilaya au ya Mji wa Kuhistoria. Butiama yapaswa kuwa developed kuwa Mji wa Kihistoria. Efforts shud b exerted towards that. Period.
 
Miaka 77 butiama?, aisee. Navojua Nyerere alikufa akiwa mwenye miaka 77, je shule zote alisomea butiama? kufundisha alifundisha huko butiama? na je harakati za uhuru nazo alizifanyia butiama?.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
 
NYERERE hakuwa na mizimu ya al qaeda... Butiama ni 'place of domicile' ya NYERERE maisha yake yote...

Ukubali ukatae hakuishi Butiama miaka 77, na pale Msasani aliishi nani? na pale Maogomeni aliishi nani? na pale Pugu aliishi nani? na pale Tabora aliishi nani? Na kule makerere aliishi nani? na kule Ulaya alipoenda kusoma aliishi nani?

Jumlisha hiyo miaka aliyokuwa huko nje ya butiama, halafu utapata jibu Butiama aliishi miaka mingapi.
 
Back
Top Bottom