Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Sasa mwanzo serikali ilipiga kelele; sasa inakuwaje mizuri? Je ukiangalia ni upi kati ya ule wa waislamu na wakristo una tija kwa taifa letu? Kingunge yuko wapi sasa? Au amekwisha uelewa kwa muda wote huo?
Source: Habarileo 13 May 2010 (front page)
Source: Habarileo 13 May 2010 (front page)