Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,273
Wakwangu anasoma huku kwetu Kwamtogole ndiyo ninavyopenda.Kuna kosa gani? Na wewe kampe uzae nae mtoto wako akasome Feza
Sent from my iPhone using Tapatalk
Wakwangu anasoma huku kwetu Kwamtogole ndiyo ninavyopenda.Kuna kosa gani? Na wewe kampe uzae nae mtoto wako akasome Feza
Sent from my iPhone using Tapatalk
LETA VITU VYENYE MAANA HUMU YAANI HIVYO VIWANJA VYA HIGH DENSITY NDIO MUNAFANYA JAMBO KUBWA LA KUJADILI HAPA SQ MITA 800.Watoto wa Rais Magufuli na Katibu Mkuu Hazina Bw. Dotto James na Mke wa Mkuu wa Mkoa Dar Bw. Paul Makonda wanaonekana kugawiwa ardhi iliyoporwa kutoka kwa Wananchi DAR. Inasemekana ni ‘syndicate’ kubwa ya Viongozi wa Serikali na CCM kujimilikisha ardhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Kiwanja cha 800Sq Meters ni sawa na 20X40meters Ni mediam density ty wala si Low Density. Ni vidogo sanaaaa. Hizi ni siasa za majitaka tu
Watoto wa Rais Magufuli na Katibu Mkuu Hazina Bw. Dotto James na Mke wa Mkuu wa Mkoa Dar Bw. Paul Makonda wanaonekana kugawiwa ardhi iliyoporwa kutoka kwa Wananchi DAR. Inasemekana ni ‘syndicate’ kubwa ya Viongozi wa Serikali na CCM kujimilikisha ardhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto wa Rais Magufuli na Katibu Mkuu Hazina Bw. Dotto James na Mke wa Mkuu wa Mkoa Dar Bw. Paul Makonda wanaonekana kugawiwa ardhi iliyoporwa kutoka kwa Wananchi DAR. Inasemekana ni ‘syndicate’ kubwa ya Viongozi wa Serikali na CCM kujimilikisha ardhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kma robo ya uwanja wa mpira ..............!!Wataalamu wa math na geography hivi square meter 800 ni sawa na ukubwa gani??
Yaani ukitaka kumuelezea layman kama mimi unaweza tumia lugha gani??
Ni sawa na uwanja wa mpira??
Au ni acre ngapi??
mtoa mada nafikili hajui maana ya SQ meter ambayo ni sawa na urefu Mara upana tukichukua eka moja no meter 70 kwa 70 no sawa na kusema 70×70=4900 SQ meter so kwa sq meter 800 au 1700 ni eneo la kawaida mbona baharresa Zanzibar amechukua lieneo likubwa tena beach hatujawaii hojiLETA VITU VYENYE MAANA HUMU YAANI HIVYO VIWANJA VYA HIGH DENSITY NDIO MUNAFANYA JAMBO KUBWA LA KUJADILI HAPA SQ MITA 800.
Aisee uomgozi Africa raha sana
Hii ardhi iliporwa kutoka kwa nani? Maana ukisema kutoka kwa wananchi Dar kidogo haileweki. Hao wamiliki wa hiyo ardhi walikuwa wakina nani?
Subiri nitakapoleta uzi wenye heading 'wananchi dar waporwa ardhi' hapo ndo nitawataja hao wananchi walioporwa, lakin hii inahusu hao waliogawiwa ardhi iliyoporwa na nimewataja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yesu na maria!
Ufisadi katika sura mpya!Kweli hawa watu wameivana,mpaka viwanja wanagawiana sehemu moja!
Hii ni viwanja tu,deal gani nyingine wamepiga pamoja!
Halafu kuna mtu anahisi Makonda atakuja kutumbuliwa,mtasubiri sana!
Ukiona JPM yuko radhi nchi ikose matrilion ya misaada au mikopo ilimradi tu kumlinda Makonda basi ujue kuna binding force kubwa sana baina yao!
Duh huku tunahubiriwa uzalendo kule watu wanagawana ardhi!!. Uko ziwa au ma mbele?Jurgen mtoto wa mwisho wa Janeth Magufuli.
Hahaha Zitto anajinadi buchani. Sasa hivi watamtoa nyongo, hawachezewi hao wasukuma. Kwasasa Tanzania ni yao, angesubiri watoke madarakani turudishemali yetu tuwaache masikini kama walivyoingia madarakani.
Asante mkuuKma robo ya uwanja wa mpira ..............!!
Watoto wa Rais Magufuli na Katibu Mkuu Hazina Bw. Dotto James na Mke wa Mkuu wa Mkoa Dar Bw. Paul Makonda wanaonekana kugawiwa ardhi iliyoporwa kutoka kwa Wananchi DAR. Inasemekana ni ‘syndicate’ kubwa ya Viongozi wa Serikali na CCM kujimilikisha ardhi.
Sent using Jamii Forums mobile app