johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Mosi, Waraka umesomwa Makanisani kwa Watanzania Wote wenye Mapenzi mema.
Pili, Waraka umetoa angalizo na ushauri kwa Viongozi wenye Mapenzi mema na nchi yetu.
Waraka haujazungumzia mambo ya Imani ya Dini bali umezungumzia Ustawi wa taifa la Tanzania na Maendeleo ya Watu wake.
Nne, Waraka haujamlenga Mtu wala Kikundi cha Watu bali Watu ndio Wanaibuka Wenyewe mmoja mmoja na kujirengesha kwenye Waraka.
Mungu wa mbinguni awabariki. 😀
Pili, Waraka umetoa angalizo na ushauri kwa Viongozi wenye Mapenzi mema na nchi yetu.
Waraka haujazungumzia mambo ya Imani ya Dini bali umezungumzia Ustawi wa taifa la Tanzania na Maendeleo ya Watu wake.
Nne, Waraka haujamlenga Mtu wala Kikundi cha Watu bali Watu ndio Wanaibuka Wenyewe mmoja mmoja na kujirengesha kwenye Waraka.
Mungu wa mbinguni awabariki. 😀