nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,285
- 3,253
HUjaeleweka mkuu
Unasafishaje mtu kwa barua moja
"KUJIHUDHURU" ndo nini? kingereza sawa sio lugha yetu, lakini jamani hata kiswahili kinatushinda?
Hizo ni mbinu za Nundu kutaka washirika wake CMHI wapate ulaji na vile vile ni mbinu ya kutaka kujiepusha na kitanzi.
Kama unaamini maneno ya Nundu kwamba hawa CMHI wangewekeza kwa nusu ya gharama za CCC, tuwekee ushahidi(document) kuonyesha hicho kiwango anachosema Nundu.
Na kama Nundu alikuwa mzalendo, baada ya kupata barua ya wachina wake kwamba wizara ya fedha inashirikiana na wachina wengine katika mradi huo huo, alichukua hatua gani? kuwasiliana na wizara ya fedha!? Kama kweli aligundua kwamba naibu wake amemzunguka alimripoti kwa mkubwa wao? au amesubiri uozo wake umeanikwa ndipo anakuja kujipapatua? katika hili Nundu hatoki hata afanye nini.
As I noticed all the documents attached are classified, thus the truth is, not only Mr. Nundu should go,
but the whole secretaryship of his ministry should also be sacked. However, it is obvious that the documents
were released by the Mfutakamabas' camp, thus why they misses documents that implicates him in this scam.
Please Mr. Invisible, disclose the other side of the coin so as we may reasonably and fairly conclude the matter.
Mh. Nundu kakosea nini hapa! Actually yeye ndiye anataka kunusuru nchi yetu kutoka kwenye hujuma hisiyo kifani, what is CCCC, kwani Exim Bank China imetoa fedha na shinikizo la kusema lazima CCCC ndiyo ipewe tender ya kujenda maghati, one may ask why pick on CCCC; kwa nini pasiwepo na ushindani uliyo wazi huko Uchina, tenda ikatangazwa huko Uchina na kampuni itakayo shinda iweze kujenga maghati. Waziri anachezewa kama mtoto mdogo na watu walio chini yake maanake nini, wanaondoka kwenda safari bila kutoa taharifa kwa Waziri na nyinyi mnaona hilo sawa.
Mh. Nundu ndiye kapewa dhamana ya kuongoza Wizara na Raisi, Waziri ana uwezo wa kufutilia mbali mambo ambayo hayakukaa sawa; mimi niliangalia ubishi uliyokuwepo kati ya mwenyekiti wa Kamati, Waziri na Mh.Mnyika mtu mwenye akili timamu unaona wazi wazi kwamba hoja anazo zitoa mwenyekiti hazija kaa sawa, watu walikuwa wamepania kumdhalilisha Mh.Nundu aonekane hafahi, kisa maghati; lakini Mh. Nundu alipo simama na kutoa ufanafanuzi watu tulig'amua ni kundi lipi lenye matatizo, mtu kama analitakia mema Taifa hili hasingesita kukubali kurekibisha kipengele kilicho kaa vibaya katika mambo ya mikataba kilekebishwe, hizo small prints ndizo zimeli-cost Taifa Dearly.
Mh. H. Rashid alitoa onyo la kweli kwamba Wachina wengi wa siku hizi siwa enzi za Mao na nikweli, Wachina wengine hawaogopi hata kidogo-leo hii Raisi wa Uchina apate habari kwamba kuna kampuni kutoka China inawapa ma-trip yasiyo na kichwa wala miguu viongozi wa Wizara inayotoa tenda za kujenga maghati, hilo likijulikana Wachina hao watapigwa risasi adhalani - wenzetu wako serious na mambo haya.
Mimi siko overly concern na uharaka wa kusema eti wapewe CCCC kwa kuwa Wakenya wanajenga Bandari/maghati Lamu, sijuhi Msumbiji nini -visingizio chungu mzima. Namuomba Mh.JK amuache Mh. Nundu afanye kazi zake kwa amani, mtu hata ukimwangalia usoni Mh.Nundu unamuona yuko sincere, wasilete mambo ya kumvuruga wizara kwa ajili ya maslahi yao yasiyo na tija kwa TAIFA, mimi naona kitu cha kufanya ni kubadirisha watendaji wakuu pale wizarani na TPA; wapewe kazi nyingine nje ya wizara, bila kufanya hivyo Waziri atapata wakati mgumu - watu hawa wako well organised.
According to the Chinese country's criminal law….it is an offence for Chinese companies and Chinese nationals to bribe foreign government officials. The law applies to companies organized under Chinese law and would include Chinese companies overseas and wholly foreign-owned enterprises in China. This is according to a World Bank statement issued in Washington in July 29[SUP]th[/SUP]/ 2011…when the WB announced the debarment of China Communications Construction Company (CCCC) Limited, and all its subsidiaries, for fraudulent practices under the Phase 1 of the Philippines National Roads Improvement and Management Project.
Under the sanction, CCCC is ineligible to engage in any road and bridge projects financed by the World Bank Group until January 12, 2017. This action was based on recent changes in the World Bank sanctions system to clarify that successor organizations- through purchase or reorganization –will be subject to the same sanctions applied to the original firm.
My take:
This is the same company involved here in TZ and already under this very suspicious deal….involving the current transport ministers from the TZ government. I will take the said paid for trip to China involving Minister Mfutakamba as bribery offered by the CCCC Ltd for the port's deal……no wonder minister Nundu is trying to isolate himself from this fiasco……something is very fishy here…..we could be in for another Richmond….or Buzwagi or Kiwira here…..very sad that this is again happening under JK's government……these guys seem not to learn from their past mistakes……kweli sikio la kufa halisikii dawa…….
Source: Read about this from here: World Bank Applies 2009 Debarment to China Communications Construction Company Limited for Fraud in Philippines Roads Project