notmar
Member
- Jun 4, 2011
- 81
- 1
wana tarime wamekosea sana kumchagua nyangwine kuwa mbunge wao.nimemsikiliza akichangia hotuba jioni hii....ni mtu ambaye hawezi kujenga hoja mtu wa kuchekacheka hata ktk mambo ambayo ni serious km mauaji ya nyamongo............amejikanyaga kwa kutaja mambo ya ajabu kama kukata watu mapanga mpaka lukuvi (ambaye wanatoka chama kimoja)ameomba afute kauli...........this is nyangwine.