Nyandu Tozi aka Dogo Hamidu unasema??

Kweli maisha ni zaidi ya ujuavyo. sasa hivi dogo hamidu anamtuma mr.blue kama mtoto wake vile dah!..pesa ni kitu kingine. eti "ulikuwa wapi hadi sa hizi eeh? si ninakuuliza wewe blue". hahahaaa...!!
 
Shosti si kwa nchi hii!dogo ni pusher like!tangu ukae kinondoni ally moko au chacha tangu wavume mpaka wanakuwa tengeru tee ushasikia wamepata kimbembe?dogo anacheza na virobo tu wazee wa ndonga wapo na hawakamatwi!get rich or die tryin!!!!

Hapo mkwajuni ni nomaaaaa nimekaa sana hapo yani madogo wamepinda magetoni ni kamali mavitu ya wizi yapo magetoni yani ikabidi niame tu mambo hayo nikawaachia kina man banyenda wayaendeleze!
 
ila kweli aisee kina Ali Moja da mpaka huzuni kuongea...

Acha tu wangu!!!ukizoea biashara hii ya faida huwezi fanya biashara yeyote!hao wakali kila wiki wanapokea watu na mzigo ukiwacheck leo!dah....maisha kweli duara ukifanya mchezo unarudi palepale ulipokuwepo!!!!kuna watu walifikia hatua ya kujiita rais wa kinondoni!sasa hivi wamekojoa mbaya wanaficha sura zao!
 


Watuhumiwa wote wapo Humo B.O.B(Mr Blue , Dogo Hamidu,Petit man na Young D)

-0:16 Boom Kwenye Air,Hewa Ina Cocaine (young D)
-1:39 Wanao-sniff na ku-smoke mie ndo nawacontrol (Nyandu Tozi)
 
Back
Top Bottom