Nyambabe chungulia hapa

Nyambabe chungulia hapa

Papa1

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2012
Posts
2,023
Reaction score
2,218
Najua wewe ni kiongozi wetu shupavu, mpenda mageuzi, mtu wa watu, katika saula la mgombe wa ubunge jimboni mwako, angalia nguvu ya chama chetu ukilinganisha na vyama vingine vya UKAWA hasa CUF, NLD na CHADEMA. Zingatia matokeo ya chaguzi za serilaki za mitaa. ukiona chama chetu kinatosha ok pigania hiyo nafasi. Lakini kama kuna chama kimetupiku na mkakati ni kuiondoa CCM, basi tuwaachie waliofanya vizuri waendelee na kinyang'anyiro hicho sisi tupige kampeni tu. Jambo la muhimu ni wewe kupata maslahi kutoka ruzuku zitakazopatikana kutokana na ushindi wa ujumla wa chama kama wenzetu CDM wanavyofanya kwa Dr. Slaa ilimradi wewe uendelee kujenga chama. Bado tunahitaji viongozi wengi tu baada ya kushika dola. wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi n.k Huwezi kukosa wadhifa.
 
Kusema kweli naona kama Serengeti Chadema imekamata Sawa Sawa ila kwa Kuwa ukawa ni muungano na sio anapenda kama NCCR nadhani yupo Sawa tu kikubwa ni waliondaa shamba wakubali kuvuma nae pamoja
 
Najua wewe ni kiongozi wetu shupavu, mpenda mageuzi, mtu wa watu, katika saula la mgombe wa ubunge jimboni mwako, angalia nguvu ya chama chetu ukilinganisha na vyama vingine vya UKAWA hasa CUF, NLD na CHADEMA. Zingatia matokeo ya chaguzi za serilaki za mitaa. ukiona chama chetu kinatosha ok pigania hiyo nafasi. Lakini kama kuna chama kimetupiku na mkakati ni kuiondoa CCM, basi tuwaachie waliofanya vizuri waendelee na kinyang'anyiro hicho sisi tupige kampeni tu. Jambo la muhimu ni wewe kupata maslahi kutoka ruzuku zitakazopatikana kutokana na ushindi wa ujumla wa chama kama wenzetu CDM wanavyofanya kwa Dr. Slaa ilimradi wewe uendelee kujenga chama. Bado tunahitaji viongozi wengi tu baada ya kushika dola. wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi n.k Huwezi kukosa wadhifa.


Huku Serengeti kwanza hatuamini km Nyambabe anaweza kufanya uhuni huu,awali niliwahi kusikia njama zake za kumpepenea mtia nia mmoja dhaifu wa Chadema ili kupitia mtia nia huyo dhaifu,Nyambabe aweze kuonwa yy ni zaidi.Nyambambe kwetu cc Serengeti ni aina ya wanasiasa dhaifu kimkakati,kazi yke ni kutaman kugombea bila kuandaa mazingra ya ushindi.Hivo,naamini hata bila ya kujali mazingira ambayo CDM tumeyatengeneza kwa ushindi yy angegombea tu! Kwa ujumla tumekereka kusikia analiweka jimbo letu kwenye matamanio yake ilhali kwenye uchaguzi uliopita hata kijiji chake kipo chini ya CDM!!! Mpuz huyu anadhan kuwa SG ndo kupata sifa na kielelezo xha yy kushinda Jimbo????
 
Kinachotizamwa na kinachotakiwa ni nani anawza kuijenga serengeti na siyo nani amejiwekea mazingira ya ushindi, siyo jambo nzuri kueendelea kusema furani kajiwekea mazingira ya ushindi so anatakiwa aachiwe jambo, hapana hapa tuanagilie nani anaweza kuisaidia na kuipeleka serengeti mbele.
Tumefanya makosa sana hapo nyuma, serengeti ilikuwa ukionyesha nia mapema ww ndo mshindi. Ilitokea kwa wanyancha na baadae kebwe matokeo yake ndo haya mnayaona.,. Namjua marwa ryoba wa cdm anaepewa nafasi kubwa ya ushindi, marwa nimesoma nae tarime form 5 na baadae wote tukahamia makogo kwa masomo ya 5 na 6, ni mtu mwenye misimamo chanya,. Sina tatizo nae..go go go marwa mya class mate
 
CHADEMA ilitumia gharama kubwa kufanya operation Tanzania nzima hadi kupata wabunge 46 waliopo sasa. Moyo wa dhati wa kiukombozi na kujitolea ndo chachu na TAMAA weka mbali.

Ni Kweli CHADEMA viongozi wake wamefanya operation nyingi ikiwemo Maandamano ambapo Makamanda ki ukweli walirisk kuumia ama kupoteza maisha yao. It is a just a matter of reasoning, Hao viongozi wengine wa CUF na NCCR waangalie na wawe na kumbukumbu ya mabomu na hatari zilizotokea. WAO viongozi wa CUF na NCCR waliogopa kupigwa mabomu.

Nashauri hivi: Katibu Nyambabe atulie tu na akubali principle walizojiwekea zifanye kazi..... Kuvunja kanuni si vyema.... Chama chenye nguvu kipewe Jimbo. NCCR wakubali wenye nguvu wapewe Jimbo.

Any way, Nao CHADEMA wasishupaze shingo kung'ang'ania Jimbo hilo, kama itakuwa ni tatizo na inaweza kuvunja UKAWA, then wamwachie tu Nyambabe......

Flexibility and risk taking.... Huyo mgombea wa CDM wa Jimbo la Serengeti nae aangalie masilahi ya UKAWA kwa ujumla na pia aangaliwe baadae katika utumishi wa Umma.
 
Mmmhh I smell something here...

Guys hivi hatutoi siri za vikao nje? Je huu utaratibu ni mzuri kwa umoja huu? Iwe Nyambambe ananguvu huko na ni Dhaifu sana huko, nadhani hiki tunachokiandika hapa si afya kwa UKAWA tusibiri muda muafaka na mamlaka zilizoko juu kufanya kazi yake sawia.

BACK TANGANYIKA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom