Torra Siabba
Senior Member
- Jul 24, 2016
- 105
- 102
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wananchi wa Bulale Kata ya Buhongwa Wilaya ya Nyamagana Jijini Mwanza baadhi ya wananchi wanaoishi katika maeneo hayo wameiomba serikali kuwatengenezea Barabara itokayo Buhongwa kuelekea kituo cha Afya Bulale ambayo kimsingi mpaka sasa inapitika kwa Shida hasa ikichangiwa na mvua zinazoendelea kunyesha jambo ambalo linaleta adha kwa wananchi wa eneo hilo.