Nyama ya Bata ni tamu

Nyama ya Bata ni tamu

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,093
just_few_dollars.jpg
 
Duh, kweli hali ya maisha bongo imekuwa ngumu! Hadi bata wanaanza wizi!
 
Huyo bata atakuwa kama mamba wa kwetu wale wa kutumwa.
 
Hahhahha....natamani ningekua huyo bata!!!

ili ule nyama ya bata au...................ila hiki kichwa cha habari hakina uhusiano wa moja kwa moja na habari yenyewe kwenye picha hizi..................au waonaje?????????
 
kweli nimeona.
umeona nyama ya bata ni tamu................hivi kwenye picha hii waweza kweli kuyathibitisha hayo au unachangia uzoefu wako binafsi?
 
Back
Top Bottom