Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 3,619
- 18,518
USA river labda.Tanzania mapishi huwa ni zero
Kabisa
Nilivyoendaga US sikuwahi kukutana na chakula kibovu
Acha bangi.
USA river labda.Tanzania mapishi huwa ni zero
Kabisa
Nilivyoendaga US sikuwahi kukutana na chakula kibovu
KwakweliWaislamu kwenye kupika tuko vyedi mkuu
Upishi ni swala binafsi. Usiseme Waislamu.Waislamu kwenye kupika tuko vyedi mkuu
Onhoo hapo kwenye utumbo sasa....napenda utumbo ila nikiwazaga kuuchemsha hadi uive naishiwa pozi...alternative nachemshia kwenye pressure cookerJina moto na tangawizi,
Hata utumbo unaosifika ni mgumu kwa hivyo vitu viwili unalainika faster
Waislamu kupika labda uji wa muhogoUpishi ni swala binafsi. Usiseme Waislamu.
Kwa sababu hakuna somo la mapishi kwenye mafundisho ya dini.
Nenda Kigoma Ujiji, waislamu kede. Lakini sasa, achia hapo.
Nadhani mabinti wa pwani haswa Dar na Tanga ndiyo wataalam wa mapishi. Na kutokana na uhalisia, maeneo hayo watu wengi ni Waislamu. Ila hawajui kupika kwa sababu ya Uislamu, bali kwa sababu ya tamaduni za eneo husika.
Eid Mubarak!.
Mpo watu 8 bado mnawaza nongo 😂😂😂😂😂😂😂Nilipoona kwenye trending news, title imetaja habari za nyama, nikajua labda mada inaongelea ile nyama inayopigwa na joto muda wote lakini haiivi...
Kufungua uzi kumbe tupo jukwaa la mapishi...kwaheriiii!
Eid Mubaraka!
Hahahaha!. Kwa hiyo msikitini uji wa muhogo unafundishwa? Hahaha!Waislamu kupika labda uji wa muhogo
Kupika ni suala la mtu binafsiiiiiiiii
KIpindi cha Ramadhani, futari bila uji wa muhogo sio futari hiloooHahahaha!. Kwa hiyo msikitini uji wa muhogo unafundishwa? Hahaha!
Upishi ni swala binafsi kabisa.
Ni uji wenye pilipili manga labda.KIpindi cha Ramadhani, futari bila uji wa muhogo sio futari hilooo
Huwa wanafundishwa ndio.
Takabalallahu minna waminkumEid Mubaraka!
Yeah!Ni uji wenye pilipili manga labda.
Hayo maneno ya kiarabu maana yake nini?Takabalallahu minna waminkum
Kuna shida hapa, tena sio ya kitoto ostadhat...😂😂😂😂😂
huku maporini kwetu nyama kuiva au kua laini sio issue, ilimradi imekatatwa vipande vidogo vidogo na ni ya moto na haibani mdomo 🐒Wapishi wa nyama katika migahawa, Bar, hotel, sherehe na hata majumbani hakikisheni nyama zinaiva vizuri na kuwa laini kabisa. Iwe nyama ya kuchemsha, kuchoma au kukaanga nyama inatakiwa iwe laini kabisa uweze kuichambua au kuitoa kwenye mfupa au kuitenganisha kwa kijiko, uma au mkono mmoja tu.
Iwe nyama ya ng'ombe, mbuzi, kuku wa kienyeji au kitimoto nyama inatakiwa kuivishwa na kuwa laini kabisa. Iwe utumbo, mbavu, paja, mguu au sehemu yoyote ile inatakiwa iive iwe laini.
Haipendezi na Inakera sana kula nyama huku unavuta kwa mikoni miwili kama manati au unatafuna kama bigijii, Inakera kula nyama huku zinabaki kung'ang'ania katikati ya meno na kukuhitaji kumaliza toothpick kikopo kizima kusafisha mabaki ya nyama kwenye meno.
Wengi hawajui kupika supu, nyama inatakiwa ichemshwe kwa kuongeza maji kidogo kidogo sana mpaka iive kabisa ndio uongeze maji hata kama ni pipa zima kama unavyotaka. Tofauti na hapo ukiijaza maji tokea mwanzo itakubidi utumie muda mrefu sana na moto mwingi sana kuichemsha mpaka iive kabisa.
Haya mtumishi wa bwana....Hayo maneno ya kiarabu maana yake nini?
Niite mtumishi wa bwana usitumie ostadhat.
Mtumishi wa Bwana 🤣🤣🤣🤣Hayo maneno ya kiarabu maana yake nini?
Niite mtumishi wa bwana usitumie ostadhat.