Nyama na Sukari vimepanda

Nyama na Sukari vimepanda

Bado haujasema mkuu,sahizi ukikaa na familia Anza kusifia maharage jinsi yalivyo naprotini kuliko nyama,labda wanaweza kukuelewa na labda sikukuu watakubali wapikiwe pilau harage.
Wali mseto huooo

Ova
 
Zaman zetu sukari ikibaki kidgo mama alikua anaikaang'a kwanza ,then anatia maji inakoa vizuri tu .

Tunashushia na ndizi choma na parachichi pembeni asubh imeisha hiyo.
 
Nilikua nishazoea ninanunua kilo 5 kila mara kwa ajili ya Familia kwa shilingi 14000 but sasahivi kilo 5 nimenunua kwa 16000 ongezeko la shilingi 2000 kwa kilo 5

Nyama nayo imepanda, kilo tulikua tunanua elfu 7500 kwa 8000 huku Goba sasahivi nyama kilo ni 9500 kwa elfu 10

Nimesikia watu wakisema nauli za usafiri wa umma daladala zimepanda pia japo sina uhakika na hili jambo lakini hii italeta athari sana kwa wanaopanda daladala

Kweli mama anaupiga mwingi sana
Yes imepanda juzi nmeenda bucha ninayonunua nikakuta nyama 10000 kilo nikasema hapa gharama zinazidi kuongezeka
 
Nilikua nishazoea ninanunua kilo 5 kila mara kwa ajili ya Familia kwa shilingi 14000 but sasahivi kilo 5 nimenunua kwa 16000 ongezeko la shilingi 2000 kwa kilo 5

Nyama nayo imepanda, kilo tulikua tunanua elfu 7500 kwa 8000 huku Goba sasahivi nyama kilo ni 9500 kwa elfu 10

Nimesikia watu wakisema nauli za usafiri wa umma daladala zimepanda pia japo sina uhakika na hili jambo lakini hii italeta athari sana kwa wanaopanda daladala

Kweli mama anaupiga mwingi sana
sio mama,,tatizo ni izi sikukuu zilizo karibia mzee baba,na baada ya sikukuu madaftari,penseli,rula na kalamu zitapanda bei mara dufu{demand and supply},,,,,ata wakati wa corona majeneza yalipanda bei!!!!...wee mzee vipi acha kulaumu gvt kwa kila jambo!!
 
Daaaa kuna muda kweli nakiri jamaa alikuwa kiongozi wa Wananchi wa Kawaida.
Hili la kupanda kwa nauli linafikirisha sana
JamiiForums mobile app
Nauli.zimepanda sanaa toka alivyofariki Magufuri mtetezi wa wanyonge ,tatizo wapanga nauli ndio wamiliki wa vyombo vya usafirishaji na ndio wana siasa

Na swali je hayo mafuta yameshuka bei je nauli nazo
 
Back
Top Bottom