Baa ya kisuma kama sijakosea waliibuka washindi kwa kunyakua m1Nani alishinda sasa,au haikuwa mashindano.
nadamu wakatili sana....
Sijui siku tukiamka tukamkuta ngombe amewasha jiko anachoma mapaja ya binadamu tutafanyaje...........:A S 13::A S 13::A S 13:
nadamu wakatili sana....
Sijui siku tukiamka tukamkuta ngombe amewasha jiko anachoma mapaja ya binadamu tutafanyaje...........:A S 13::A S 13::A S 13:
Wakuu that's how it is...........................Daaaah! It's like you took the words "binadamu wakatili sana" right out of my mouth!
Indeed sisi ni wakatili sana. We kill these innocent animals just for leisure. Very sad.
Ha haaaaa.........Ndo mambo yenu wabongo,starehe kuliko kazi.eti mashndno ya nyma choma.uzush mtupu.
Mimi nilikuona sana tu nikakuchunia, si ulikula na nyama wewe? au unabisha hukuladah mbona sikukuona? nami nilikuwepo mitaa hiyo.
nadamu wakatili sana....
Sijui siku tukiamka tukamkuta ngombe amewasha jiko anachoma mapaja ya binadamu tutafanyaje...........:A S 13::A S 13::A S 13:
kesi imekwisha hapao, maana ungebisha ningekutajia kila kitu.....lolhahahahahaha, mpaka hapo sibishi.
wamasai wanaishi kwa nyama na hawana vitambi kabisa.Halafu mnalalamikia vitambi....
wamasai wanaishi kwa nyama na hawana vitambi kabisa.
Wanakunywa bia? wanadrive? wanakaa nyuma ya PC?