Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,399
Katika siku za hivi karibuni kumekuwepo na kasi kubwa ya kuhama kwa wanachama wa Chadema hasa baada ya aliekuwa waziri wa maliasili na utalii bwana Lazaro Nyalandu kuhama CCM na kwenda Chadema.
Safari ilokuwepo kwa Chadema unazidi kupotea baada ya kumkaribisha Nyalandu mtu ambae ana lundo la tuhuma za ufisadi.
Kwa upinzani huo wa CDM sahauni habari ya Urais na kuingia Ikulu.
Ndani ya Chadema sasa hivi kuna mpasuko mkubwa wa kiutawala na maslahi na hakuna dalili za mwenyekiti kuachia kiti hicho ili kusiwepo na nadharia kwamba mwenyekiti Freeman Mbiwe naye ni dikteta ndani ya Chadema..
Chadema walimpoteza Dr Slaa na leo hii ameteuliwa kuwa balozi na mheshimiwa raisi John Magufuli.
Wale wote wanaotoka sasa Chadema kwenda CCM waliingia enzi za Slaa akiwa katibu mkuu makini ambae ni mtu mwenye msimamo na husimamia kile anachokiamini.
Fred Mpendazoe
Profesa Kitila Mkumbo.
Lawrence Masha
Patrobas Katambi
David Kafulila
Dr Wilbroad Slaa?
Samson Mwigamba
Albert Msando
Kitendo cha Chadema kula matapishi ya CCM ni kitendo kityakachokigharimu chama hiki na hata upinzani kwa ujumla.
Leo hii wale wote ambao wanajiondoa CCM kukimbia tuhuma za ufisadi, leo hii wanaonekana ni lulu kwa upinzani.
Mwizi na fisadi yoyote hawezi kukaa ndani ya CCM atatafuta pa kukimbilia, lakini ni kwanini isiwe mahali pengine bali Chadema?
Edward Lowasa alitajwa kuwa fisadi na Chadema na akafanywa mtaji mkubwa wa Chadema kiasi cha kumuondoa Dr Slaa.
Hakika nimeamini CCM ni mashine kubwa ya kutengeneza propaganda na zikaleta madhara makubwa sana.
Chadema amkeni kabla ya mambo hayajawa mazito zaidi na maji kufika shingoni.
Safari ilokuwepo kwa Chadema unazidi kupotea baada ya kumkaribisha Nyalandu mtu ambae ana lundo la tuhuma za ufisadi.
Kwa upinzani huo wa CDM sahauni habari ya Urais na kuingia Ikulu.
Ndani ya Chadema sasa hivi kuna mpasuko mkubwa wa kiutawala na maslahi na hakuna dalili za mwenyekiti kuachia kiti hicho ili kusiwepo na nadharia kwamba mwenyekiti Freeman Mbiwe naye ni dikteta ndani ya Chadema..
Chadema walimpoteza Dr Slaa na leo hii ameteuliwa kuwa balozi na mheshimiwa raisi John Magufuli.
Wale wote wanaotoka sasa Chadema kwenda CCM waliingia enzi za Slaa akiwa katibu mkuu makini ambae ni mtu mwenye msimamo na husimamia kile anachokiamini.
Fred Mpendazoe
Profesa Kitila Mkumbo.
Lawrence Masha
Patrobas Katambi
David Kafulila
Dr Wilbroad Slaa?
Samson Mwigamba
Albert Msando
Kitendo cha Chadema kula matapishi ya CCM ni kitendo kityakachokigharimu chama hiki na hata upinzani kwa ujumla.
Leo hii wale wote ambao wanajiondoa CCM kukimbia tuhuma za ufisadi, leo hii wanaonekana ni lulu kwa upinzani.
Mwizi na fisadi yoyote hawezi kukaa ndani ya CCM atatafuta pa kukimbilia, lakini ni kwanini isiwe mahali pengine bali Chadema?
Edward Lowasa alitajwa kuwa fisadi na Chadema na akafanywa mtaji mkubwa wa Chadema kiasi cha kumuondoa Dr Slaa.
Hakika nimeamini CCM ni mashine kubwa ya kutengeneza propaganda na zikaleta madhara makubwa sana.
Chadema amkeni kabla ya mambo hayajawa mazito zaidi na maji kufika shingoni.