Nyakati: No reforms no election

Nyakati: No reforms no election

Msanii Chella wa Nigeria ashangazwa na comments za NO REFORMS NO ELCTION Kwenye post zake.. baada ya kupost show yake ya Mwanza - Anahoji nini kinaendelea Tanzania??
 
Hii No Reform No Election italeta shida siku ya kupiga kura. Hawa wana ajenda gani.
 
Jamuhuri ya Insta tushaamua no reform no election na ku unfollow juu
Baada ya kudharauliwa kwa muda mrefu Watanzania sasahivi wamejipata. Kuna Jeshi la Mashambulizi limezaliwa Jana Tanzania linaitwa Tanzanians on Instagram (IG). Watu hawa wameanza kazi jana tu ila Pages zote za Serikali na machawa zilifunga comment sections. Mashambulizi yao nyuki wanasubiri😄
 
Baada ya kudharauliwa kwa muda mrefu Watanzania sasahivi wamejipata. Kuna Jeshi la Mashambulizi limezaliwa Jana Tanzania linaitwa Tanzanians on Instagram (IG). Watu hawa wameanza kazi jana tu ila Pages zote za Serikali na machawa zilifunga comment sections. Mashambulizi yao nyuki wanasubiri😄

Baada ya kudharauliwa kwa muda mrefu Watanzania sasahivi wamejipata. Kuna Jeshi la Mashambulizi limezaliwa Jana Tanzania linaitwa Tanzanians on Instagram (IG). Watu hawa wameanza kazi jana tu ila Pages zote za Serikali na machawa zilifunga comment sections. Mashambulizi yao nyuki

Baada ya kudharauliwa kwa muda mrefu Watanzania sasahivi wamejipata. Kuna Jeshi la Mashambulizi limezaliwa Jana Tanzania linaitwa Tanzanians on Instagram (IG). Watu hawa wameanza kazi jana tu ila Pages zote za Serikali na machawa zilifunga comment sections. Mashambulizi yao nyuki wanasubiri😄
Kunaenda kupambazuka sasa Tanzania
 
Na hapa JF Instagram wametushinda kila post ya celebrity leo comments zote ni NO REFORMS NO ELECTION

Inatakiwa post zote za Lucas Mshamba, Chiembe na DC wa kisarawe tlaatlaa hakuna kuchangia mada tunareply NO REFORMS NO ELECTION
Hivi kumbe tlaatlaah ndiyo yule kibiyongo!Aisee huyu anaandika ujinga sana na ukisoma comments zake siku yako lazima iharibike.
 
Na hapa JF Instagram wametushinda kila post ya celebrity leo comments zote ni NO REFORMS NO ELECTION

Inatakiwa post zote za Lucas Mshamba, Chiembe na DC wa kisarawe tlaatlaa hakuna kuchangia mada tunareply NO REFORMS NO ELECTION
Nimeipenda afu nimeipenda tena.....
 
Kwanza walikuja kwa Wajamaa (Socialist),
nami sikusema chochote — kwa sababu sikuwa Mjamaa.

Kisha wakaja kwa Wafanyakazi wa Vyama vya Wafanyakazi,
nami sikusema chochote — kwa sababu sikuwa mmoja wao.

Halafu wakaja kwa Wayahudi,
nami bado nikakaa kimya — kwa sababu sikuwa Myahudi.

Hatimaye wakaja kwa ajili yangu,
na wakati huo hakukubaki mtu yeyote wa kusema kwa ajili yangu.

— Martin Niemöller (1947)
FB_IMG_1749279067507.jpg
 
Hii ni saa saba Mchana. 😍
Watanganyika wana kiu ya mabadiliko.
Mwenyezi Mungu shusha Neema na baraka zako kwa Watanganyika wote.
Chadema 99.9
CCM 0.01
NoreformsNoelection
Mkuu,
Hayo uliyosema yanawezekana 100%, shida ni moja tu, Tume Huru.
Kwa mfumo uliopo sasa, mgombea wa ccm anatangazwa mshindi bila kujali idadi ya kura alizopata
 
Back
Top Bottom