Boko haram
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 3,253
- 1,229
Gazeti la nyakati limenishangaza sana kuhusu habari kwamba mtataba kati ya waislamu na waziri mkuu wa kenya na mgombea urais bwana Raila Odinga umemponza waziri Magufuli mimi nimeshangaa sana kwani mtu akiamua kuwapa jamii fulani haki kuna tatizo gani lakushangaza zaidi ni chama cha chadema kulalamikia hili suala la magufuli sasa ukiangalia hili suala la gazeti hili la nyakati nachadema kuna kitu hapa katikati, Mbona cha cha Chadema kinashirikiana na CDU watu wamekaa kimya ninani mdini hapa?