Nusu ya Madaktari wafeli mtihani. Serikali acheni kudahili vilaza wa "D" kwenye taaluma inayogusa uhai wetu

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,125
49,844
Nimewahi kuandika hapo kabla kwamba Serikali inatukosea sana kwa kudahili ma failures wa D 3 kwenye fani nyeti kama ya Afya.

Mtu aliyefeli mtihani mdogo kabisa wa Kidato cha 4 ataweza vipi kufaulu mtihani kigumu ya masoko ya Afya? Unadhani kukariri na kuelewa aina za dawa na matumizi yake kwa kila aina ya ugonjwa ni jambo la kitoto?

Mtu kama huyo anaweza vipi kuwa na umakini wa mambo ya oparesheni? Mbaya zaidi wengine wanakimbia wagonjwa walio na majeraha makubwa au wenye ugonjwa mkubwa.

Serikali mnatukosea sana. Afya sio sehemu ya kupatia ajira sasa hivi imekuwa kama ualimu zamani kwamba umekosa hadi Afya? Kisa kuna pass mark ndogo na urahisi wa kupata Ajira.

Ona Sasa nusu ya Madaktari wamefeli mtihani hata waliofaulu ni makalai matupu. Serikali chukueni hatua sasa hamjachelewa.

photo_2023-08-01_10-20-49.jpg
Kwa ninayoyashuhudia Mahospitalini na hata vyuoni kwao, taarifa ya nusu ya wanafunzi wa Udaktari kufeli mitihani yao ya usajili sijashangaa
 
Nimewahi kuandika hapo kabla kwamba Serikali inatukosea sana Kwa kudahili ma failures wa D 3 kwenye fani nyeti kama ya Afya.

Mtu aliyefeli mtihani mdogo kabisa wa Kidato Cha 4 ataweza vipi kufaulu mtihani kigumu ya masoko ya Afya? Unadhani kukariri na kuelewa aina za dawa na matumizi yake Kwa Kila aina ya ugonjwa ni jambo la kitoto?

Mtu kama huyo anaweza vipi kuwa na umakini wa Mambo ya oparesheni? Mbaya zaidi wengine wanakimbia wagonjwa walio na majeraha makubwa au wenye ugonjwa mkubwa.

Serikali mnatukosea sana,Afya sio sehemu ya kupatia Ajira,Sasa hivi imekuwa kama Ualimu zamani kwamba umekosa Hadi Afya? Kisa Kuna pass mark ndogo na urahisi wa kupata Ajira..

Ona Sasa nusu ya Madaktari wamefeli mtihani hata waliofaulu ni makalai matupu.Serikali Chukueni Hatua Sasa hamjachelewa.View attachment 2704565
Twafwaa
 
Nimewahi kuandika hapo kabla kwamba Serikali inatukosea sana Kwa kudahili ma failures wa D 3 kwenye fani nyeti kama ya Afya.

Mtu aliyefeli mtihani mdogo kabisa wa Kidato Cha 4 ataweza vipi kufaulu mtihani kigumu ya masoko ya Afya? Unadhani kukariri na kuelewa aina za dawa na matumizi yake Kwa Kila aina ya ugonjwa ni jambo la kitoto?

Mtu kama huyo anaweza vipi kuwa na umakini wa Mambo ya oparesheni? Mbaya zaidi wengine wanakimbia wagonjwa walio na majeraha makubwa au wenye ugonjwa mkubwa.

Serikali mnatukosea sana,Afya sio sehemu ya kupatia Ajira,Sasa hivi imekuwa kama Ualimu zamani kwamba umekosa Hadi Afya? Kisa Kuna pass mark ndogo na urahisi wa kupata Ajira..

Ona Sasa nusu ya Madaktari wamefeli mtihani hata waliofaulu ni makalai matupu.Serikali Chukueni Hatua Sasa hamjachelewa.View attachment 2704565
Kwani hao walio feli ni wa vyuo vya kati wenye D 3 au wale wakutoka Tabora boys wenye darasa zima la watoto 260 PCB wana 1 ya 3. Tusipo ondoa siasa kwenye matokeo na kwenye elimu hi nchi itakuja kulipuka kila sekita.
 
Nimewahi kuandika hapo kabla kwamba Serikali inatukosea sana Kwa kudahili ma failures wa D 3 kwenye fani nyeti kama ya Afya.

Mtu aliyefeli mtihani mdogo kabisa wa Kidato Cha 4 ataweza vipi kufaulu mtihani kigumu ya masoko ya Afya? Unadhani kukariri na kuelewa aina za dawa na matumizi yake Kwa Kila aina ya ugonjwa ni jambo la kitoto?

Mtu kama huyo anaweza vipi kuwa na umakini wa Mambo ya oparesheni? Mbaya zaidi wengine wanakimbia wagonjwa walio na majeraha makubwa au wenye ugonjwa mkubwa.

Serikali mnatukosea sana,Afya sio sehemu ya kupatia Ajira,Sasa hivi imekuwa kama Ualimu zamani kwamba umekosa Hadi Afya? Kisa Kuna pass mark ndogo na urahisi wa kupata Ajira..

Ona Sasa nusu ya Madaktari wamefeli mtihani hata waliofaulu ni makalai matupu.Serikali Chukueni Hatua Sasa hamjachelewa.View attachment 2704565
Hizo ni biashara za watu, mtu kasoma miaka mi5 aka pass, akaenda internship mwaka mmoja machief wakampitisha kwamba anafaa Kisha uje umpime kwa mtihani wa masaa 2 tena multiple choices useme hafai ? Hii SI sawa.
 
Hizo ni biashara za watu, mtu kasoma miaka mi5 aka pass, akaenda internship mwaka mmoja machief wakampitisha kwamba anafaa Kisha uje umpime kwa mtihani wa masaa 2 tena multiple choices useme hafai ? Hii SI sawa.
Tatizo la ma Dakitari kufeli na wanasheria kufeli sana kwenye school of law, hutoka huku f6 na nect kuna watu hupewa grade ambazo hawastahili ila kwasbb kimazoea hiyo shule ina perform vizuri wote wana faulisha with flying colours.
 
Tatizo la ma Dakitari kufeli na wanasheria kufeli sana kwenye school of law, hutoka huku f6 na nect kuna watu hupewa grade ambazo hawastahili ila kwasbb kimazoea hiyo shule ina perform vizuri wote wana faulisha with flying colours.
Ukienda kusahisha mtihani wa NECTA utashangaa na matokeo yatakayotangazwa baadae, Serikali inaua elimu kwa makusudi.
Standardization imezidi, wakati wa kusahisha mtoto amepata D lakini wakati wa kutangaza matokeo unakuta mtoto kapata B.
 
Ukienda kusahisha mtihani wa NECTA utashangaa na matokeo yatakayotangazwa baadae, Serikali inaua elimu kwa makusudi.
Standardization imezidi, wakati wa kusahisha mtoto amepata D lakini wakati wa kutangaza matokeo unakuta mtoto kapata B.
Kibaya zaidi wana faulisha zile shule walizo nazo kimazoea lakini uhalisia hao watoto hawana uwezo kama wanavo fauli haiwezekani f4 shule nzima kupata 1 ya 7 zaidi ya wanafunzi 200. Hao watoto hupotea form six kule f6 kunaibuka wengine wa 1 ya 3 kwasbb shule ni Mzumbe chuo kikuu hao watu kupotea tena , wanao fanikisha ni wale wa 1 ya 9 na two, kwanini? Ni siasa kwenye elimu.
 
Nashauri madaktari/ wafamasia/ wauguzi wanafunzi nchi nzima wawe wanapewa mtihani mmoja wa mabaraza Kila mwaka ili waendelee mwaka mwingine au wamalize mafunzo ili waanze intern. Utitiri wa vyuo vya afya unafanya ubora uwe wa kushangaza na hivyo kupelekea kufeli intern
 
Ngoja wakamliwe.udaktari siyo rahisi kihivyo.japo natamani kuona Aina ya mtihani wanaopewa.Yani naomba baraza lisijeondoa mtihani huu kabisa.sisi tukiyoko field tunaona namna internship na masomo kwa ujumla yalivyoshuka hadhi.
 
Nashauri madaktari/ wafamasia/ wauguzi wanafunzi nchi nzima wawe wanapewa mtihani mmoja wa mabaraza Kila mwaka ili waendelee mwaka mwingine au wamalize mafunzo ili waanze intern. Utitiri wa vyuo vya afya unafanya ubora uwe wa kushangaza na hivyo kupelekea kufeli intern
Kutungiwa mtihani na baraza hapana.lakini internship kwa wote na post internship exam hapo sawa kabisa .
 
Kuna Vyuo vinafaulisha wanafunzi kwa ajiri ya kutafuta fedha.Kuna chuo kimoja sikitaji ni aibu kabisa.TCU wangekuwa wanakagua mara kwa mara tena kwa kushtukiza
Tatizo la ma Dakitari kufeli na wanasheria kufeli sana kwenye school of law, hutoka huku f6 na nect kuna watu hupewa grade ambazo hawastahili ila kwasbb kimazoea hiyo shule ina perform vizuri wote wana faulisha with flying colours.
 
Back
Top Bottom