PreGE2025 Nusrat Hanje atangaza kuhamia CCM

PreGE2025 Nusrat Hanje atangaza kuhamia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Wakuu,

Hatimaye ametamka japokuwa tulikuwa tunajua toka alipojitokeza na nguo za CCM.

====

View attachment 3338526

Mbunge wa viti Maalumu kundi la Vijana kutoka Mkoa wa Singida kupitia CHADEMA Nusrat Hanje amewatangazia wananchi wa mkoa huo na Watanzania kwaujumla kuwa anahama chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi.

Hanje ametoa kauli hiyo leo Mei 18, mwak huu wakati wa mkutano wa hadhara alioufanya viwanja vya stendi ya Zamani Ikungi mjini huku akisema kwa miaka mitano aliyodumu Bungeni ameiva na sasa anatafuta changamoto nyingine za kisiasa nje ya CHADEMA.

Pia soma Pre GE2025 - Mbunge wa Covid 19, Nusrat Hanje atangaza kugombea jimbo la zamani la Tundu Lissu, Singida Mashariki

Amesema uamuzi huo wa kuhamia CCM ameufanya bila shinikizo lolote bali ameamua yeye mwenyewe baada ya kuona na kuridhishwa na mambo makubwa ya kimaendeleo anayo yafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa wananchi wa Singida.

Katika Mkutano huo pia Hanje amewataka wanaikungi kujitokeza kwa wingi kumuunga mkono kuhamia CCM kwa kuwa tayari changamoto zao na kero zao zinaweza kutatuliwa bila kusababisha vurugu wala machafuko.
Ana impact gani?
 
Wakuu,

Hatimaye ametamka japokuwa tulikuwa tunajua toka alipojitokeza na nguo za CCM.

====

View attachment 3338526

Mbunge wa viti Maalumu kundi la Vijana kutoka Mkoa wa Singida kupitia CHADEMA Nusrat Hanje amewatangazia wananchi wa mkoa huo na Watanzania kwaujumla kuwa anahama chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi.

Hanje ametoa kauli hiyo leo Mei 18, mwak huu wakati wa mkutano wa hadhara alioufanya viwanja vya stendi ya Zamani Ikungi mjini huku akisema kwa miaka mitano aliyodumu Bungeni ameiva na sasa anatafuta changamoto nyingine za kisiasa nje ya CHADEMA.

Pia soma Pre GE2025 - Mbunge wa Covid 19, Nusrat Hanje atangaza kugombea jimbo la zamani la Tundu Lissu, Singida Mashariki

Amesema uamuzi huo wa kuhamia CCM ameufanya bila shinikizo lolote bali ameamua yeye mwenyewe baada ya kuona na kuridhishwa na mambo makubwa ya kimaendeleo anayo yafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa wananchi wa Singida.

Katika Mkutano huo pia Hanje amewataka wanaikungi kujitokeza kwa wingi kumuunga mkono kuhamia CCM kwa kuwa tayari changamoto zao na kero zao zinaweza kutatuliwa bila kusababisha vurugu wala machafuko.
Kila mTanzania ana uhuru na haki ya kikatiba kuamua kujiunga na chama chochote cha siasa.

Hakuna haja ya mtu mwingine kupata mihemko au makasiriko endapo mtu mwingine anapotumia uhuru na haki yake hiyo ya kikatiba 🐒
 
Atakuwa Mkuu wa Wilaya. Tatizo hawapati ushauri; angetangaza kujiunga CCM; baada ya bunge kuvunjwa; saivi anapaswa asikanyage bungeni maana yupo Kwa tiketi ya CDM
 
Wakuu,

Hatimaye ametamka japokuwa tulikuwa tunajua toka alipojitokeza na nguo za CCM.

====

View attachment 3338526

Mbunge wa viti Maalumu kundi la Vijana kutoka Mkoa wa Singida kupitia CHADEMA Nusrat Hanje amewatangazia wananchi wa mkoa huo na Watanzania kwaujumla kuwa anahama chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi.

Hanje ametoa kauli hiyo leo Mei 18, mwak huu wakati wa mkutano wa hadhara alioufanya viwanja vya stendi ya Zamani Ikungi mjini huku akisema kwa miaka mitano aliyodumu Bungeni ameiva na sasa anatafuta changamoto nyingine za kisiasa nje ya CHADEMA.

Pia soma Pre GE2025 - Mbunge wa Covid 19, Nusrat Hanje atangaza kugombea jimbo la zamani la Tundu Lissu, Singida Mashariki

Amesema uamuzi huo wa kuhamia CCM ameufanya bila shinikizo lolote bali ameamua yeye mwenyewe baada ya kuona na kuridhishwa na mambo makubwa ya kimaendeleo anayo yafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa wananchi wa Singida.

Katika Mkutano huo pia Hanje amewataka wanaikungi kujitokeza kwa wingi kumuunga mkono kuhamia CCM kwa kuwa tayari changamoto zao na kero zao zinaweza kutatuliwa bila kusababisha vurugu wala machafuko.
Ccm ina wenyewe
 
Kila mTanzania ana uhuru na haki ya kikatiba kuamua kujiunga na chama chochote cha siasa.

Hakuna haja ya mtu mwingine kupata mihemko au makasiriko endapo mtu mwingine anapotumia uhuru na haki yake hiyo ya kikatiba 🐒
Wenzio wanapewa shavu we unabaki na uchawa tu, tafakari, chukua hatua.
 
Wenzio wanapewa shavu we unabaki na uchawa tu, tafakari, chukua hatua.
mwenzangu ni mimi na mimi pekeyangu gentleman,
tafadhali sana nisihusishwe na ushirikina mwingine wowote 🐒
 
CHADEMA wakati mwingine muwe makini kuwabaini kirahisi hawa mamluki. Imagine huyu binti mlimruhusu mpaka akajipenyeza kuwa na cheo kikubwa tu kwenye jumuiya yenu ya vijana (Bavicha), huku akiwa ni mamluki wa ccm!

Na kwa Patrobas Kitambi nako mlizembea hivi hivi! Mlimpa Uenyekiti wa Bavicha, huku akiwa ni mamluki wa ccm!!
 
CHADEMA wakati mwingine muwe makini kuwabaini kirahisi hawa mamluki. Imagine huyu binti mlimruhusu mpaka akajipenyeza kuwa na cheo kikubwa tu kwenye jumuiya yenu ya vijana (Bavicha), huku akiwa ni mamluki wa ccm!

Na kwa Patrobas Kitambi nako mlizembea hivi hivi! Mlimpa Uenyekiti wa Bavicha, huku akiwa ni mamluki wa ccm!!
Wana ahidiwa vyeo wakiwa madarakani, nani angeamini Halima Mdee kuwa atahamia CCM?
 
Wakuu,

Hatimaye ametamka japokuwa tulikuwa tunajua toka alipojitokeza na nguo za CCM.

====

View attachment 3338526

Mbunge wa viti Maalumu kundi la Vijana kutoka Mkoa wa Singida kupitia CHADEMA Nusrat Hanje amewatangazia wananchi wa mkoa huo na Watanzania kwaujumla kuwa anahama chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi.

Hanje ametoa kauli hiyo leo Mei 18, mwak huu wakati wa mkutano wa hadhara alioufanya viwanja vya stendi ya Zamani Ikungi mjini huku akisema kwa miaka mitano aliyodumu Bungeni ameiva na sasa anatafuta changamoto nyingine za kisiasa nje ya CHADEMA.

Pia soma Pre GE2025 - Mbunge wa Covid 19, Nusrat Hanje atangaza kugombea jimbo la zamani la Tundu Lissu, Singida Mashariki

Amesema uamuzi huo wa kuhamia CCM ameufanya bila shinikizo lolote bali ameamua yeye mwenyewe baada ya kuona na kuridhishwa na mambo makubwa ya kimaendeleo anayo yafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa wananchi wa Singida.

Katika Mkutano huo pia Hanje amewataka wanaikungi kujitokeza kwa wingi kumuunga mkono kuhamia CCM kwa kuwa tayari changamoto zao na kero zao zinaweza kutatuliwa bila kusababisha vurugu wala machafuko.
Huyu dada Huwa anakusanya nyomi sana ,CCM mpeni nafasi ya kugombea atashinda 🔥🔥

View: https://www.instagram.com/reel/DJzjti4pMuH/?igsh=MWs4dDJheWF5OWpnYQ==
 
BIila CHADEMA nani angemjua huyo? Ni njaa tu na tamaa ya fedha vinansumbua.

Ajiuzulu na ubunge sasa.
 
Wale wanaohama Huko CHADEMA wanapewa muda na vyombo bya habari. Je wakitaka kurudi watapewa Muda? Tafakari!

Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
 
Back
Top Bottom