KumekuchaK
Kwani nini tena kimetokea. ???!
Mbona mambo ni vile vile tu ??!
NJOZI 🙄 !
Ngoja Tusubiri tuone hii movie 🎥 !
Ongeza nyama kidogo, mifupa imekuwa mingi.Imefunguliwa pingu,
Aliyekuwa amekuteka kaondolewa, milango yote imefunguliwa,
Unataka nani Tena aje kukusaidia kutoka gerezani?
Shangilia💪🔥
Bado kabisa !Kumekucha
Toka nje tushangilie,Ongeza nyama kidogo, mifupa imekuwa mingi.
mimi kushangilia kwangu ni kwa SSH kuingia tena madarakani mkuu.Nyoka aliyeko ndani ya nyumba, ni hatari kuliko nyoka wa kwenye tv!
Toka nje tushangilie,
Wasioonekana, wamevuliwa mask!
Aliyewatuma haamini kilichotokea!
Hasa kwenye hili jukwaa la siasa wakati huu akili zao zimekuwa km watu wa jukwaa la chit chat inasikitisha sana kuona na wazee sasa wamepata muda wa kutuletea mizaha😂😂😂 Hamna unabii ambao hatutaona JF mwaka huu. Lakini imeandikwa jihadharini na manabii wa uongo. Tusubiri muda ni jawabu sahihi.
Salaam!
Ni kweli mlikuwa kifungoni bila hatia, bila uhuru, sasa MWOKOZI ameshakuja, kabomoa gereza, kafungua milango, kawafungua pingu, sasa imebaki kazi kwenu kutoka gerezani,
Ni kweli Giza lilitanda, lakini adui aliamini kwamba Giza ni la kudumu milele, akadhani kuwa hapatakucha, kumbe saa haikusimama, ghafula Nuru imeangaza, bundi ,popo na viumbe vya Giza vinarudi mafichoni Ili njiwa waende kuwatafutia makinda yao chakula kwa Amani.
Tanzania unapendwa sana na Mungu, huna haja ya kuandamana kudai haki yako, maombi yako yametosha kukuokoa na mtesi.
Uko huru mwanangu Tanzania 🇹🇿
Tembea Kifua Mbele Tena,
Aamin 🙏
Acha kujipa kisukari. Hakuna mtu wa kuvunja Muungano. CCM ina succession plan ya uongozi. Bado sisi maradical tunaoamini katika Nyererelism tuna miaka 30 mbele labda tufe.Tanzania hapana Jamani imetosha sasa
tunahitaji Tanganyika yetu na sio Tanzania tena
Mungu Aingilie kati na hili
ili kila mtu achukue 50 zake IMETOSHA SASA
Itakuwa habari njema ila anapaswa kuwekwa kizuiziniMuimba taarabu kasusa.
Hupendi WEWE kuona walionyanyaswa Katika nchi yao wanakuwa huru Tena?Punguza kunywa visungura mkuu
Kweli kabisa,mimi nilipowaona akina salimu mwalumu wanaipeleka CDM mahakamani kwa kesi ya uongo,ndo nikaamini kuwa na kile kisiwa ni mzigo kwa bara huruTanzania hapana Jamani imetosha sasa
tunahitaji Tanganyika yetu na sio Tanzania tena
Mungu Aingilie kati na hili
ili kila mtu achukue 50 zake IMETOSHA SASA
wapi azimio la ARUSHA,MUSOMA N.KAcha kujipa kisukari. Hakuna mtu wa kuvunja Muungano. CCM ina succession plan ya uongozi. Bado sisi maradical tunaoamini katika Nyererelism tuna miaka 30 mbele labda tufe.
Mimi natamani suala la muundo wa Dola yetu usijadiliwe popote futa hadi sera ya CCM kuhusu serikali mbili. Hii dola ni ya Katiba chini ya JWTZ siyo suala la kisiasa tena. Tanzania ilishaundwa Aprili 26,1964.
😂😂😂🤗Vipi Shumileta amekata moto huko ???
AmenSalaam!
Ni kweli mlikuwa kifungoni bila hatia, bila uhuru, sasa MWOKOZI ameshakuja, kabomoa gereza, kafungua milango, kawafungua pingu, sasa imebaki kazi kwenu kutoka gerezani,
Ni kweli Giza lilitanda, lakini adui aliamini kwamba Giza ni la kudumu milele, akadhani kuwa hapatakucha, kumbe saa haikusimama, ghafula Nuru imeangaza, bundi ,popo na viumbe vya Giza vinarudi mafichoni Ili njiwa waende kuwatafutia makinda yao chakula kwa Amani.
Tanzania unapendwa sana na Mungu, huna haja ya kuandamana kudai haki yako, maombi yako yametosha kukuokoa na mtesi.
Uko huru mwanangu Tanzania 🇹🇿
Tembea Kifua Mbele Tena,
Aamin 🙏
Hatari snSalaam!
Ni kweli mlikuwa kifungoni bila hatia, bila uhuru, sasa MWOKOZI ameshakuja, kabomoa gereza, kafungua milango, kawafungua pingu, sasa imebaki kazi kwenu kutoka gerezani,
Ni kweli Giza lilitanda, lakini adui aliamini kwamba Giza ni la kudumu milele, akadhani kuwa hapatakucha, kumbe saa haikusimama, ghafula Nuru imeangaza, bundi ,popo na viumbe vya Giza vinarudi mafichoni Ili njiwa waende kuwatafutia makinda yao chakula kwa Amani.
Tanzania unapendwa sana na Mungu, huna haja ya kuandamana kudai haki yako, maombi yako yametosha kukuokoa na mtesi.
Uko huru mwanangu Tanzania 🇹🇿
Tembea Kifua Mbele Tena,
Aamin 🙏
Kwa kweli inasikitisha sana Wazanzibar wanataka kutushughulikia kikweli kweli na ndiyo maana wanatuita Washamba maana sisi hatuna uwezo wa kung'amua mambo.Kweli kabisa,mimi nilipowaona akina salimu mwalumu wanaipeleka CDM mahakamani kwa kesi ya uongo,ndo nikaamini kuwa na kile kisiwa ni mzigo kwa bara huru