wagagagigi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2014
- 890
- 983
Salam wana JF.
Kwa mujibu wa Maalim Seif, nunua nunua tayari imehamia Zanzibar ila kuna dalili kwamba kazi ya kushawishi wabunge wa upinzani kwa upande wa Zanzibar kuunga mkono juhudi ni ngumu zaidi ukilinganisha na Tanzania bara.
Kwa nini wapinzani Tanzania bara wanunulike kirahisi ukilinganisha na wenzao wa Zanzibar?
Tujadili tafadhali.
Kwa mujibu wa Maalim Seif, nunua nunua tayari imehamia Zanzibar ila kuna dalili kwamba kazi ya kushawishi wabunge wa upinzani kwa upande wa Zanzibar kuunga mkono juhudi ni ngumu zaidi ukilinganisha na Tanzania bara.
Kwa nini wapinzani Tanzania bara wanunulike kirahisi ukilinganisha na wenzao wa Zanzibar?
Tujadili tafadhali.