Naomba namba yako mkuuTZS 95,400
Muda: Wiki Tatu (3)
Naomba namba yako mkuu
Hiyo link ina laptop za aina tatu:Nipe gharama hadi napata mkononi ....nipo DSM
Electronics, Cars, Fashion, Collectibles, Coupons and More | eBay
Utapata kwa TZS ngapi inategemea vitu vifuatavyoWaungwana kwa mfano mtu unaagiza simu moja tu kutoka china au india unaweza kuipata kwa sh ngapi
Hii laptop: https://amzn.to/2NUyqW3Amazon product ASIN B0762S8PYMMkuu hii naipata kwa ngap
UTARATIBU WA KUNUNUA BIDHAA - BUY4ME
Utafuata hizi hatua
1. Tafuta bidhaa unayoihitaji toka tovuti tofauti tofauti.
2. Chagua bidhaa husika unayohitaji katika tovuti uliyo chagua mfano kama ni ALIEXPRESS, SOUQ, AMAZON (.com, .in, .uk ) au EBAY (.in, .com, .uk)
3. Nipe link ya hiyo bidhaa unayohitaji na uliyochagua.
Utanipa link kupitia email au whatsapp au PM
4. Nitaikagua link husika na Nitakujulisha gharama kwa TSH inayotakiwa kulipwa.
5. Utafanya malipo kwa utaratibu wa malipo uliowekwa.
6. Ndani ya dakika 5 - 45 tangu ufanye malipo nitakuwa nimelipia bidhaa yako na kukupa ushahidi wa:
- Payment Invoice,
- Picha (Screen shot) ya Bidhaa yako baada ya malipo kufanyika.
- Uthibitisho wa email niliyopokea baada ya muamala kukamilika.
- Hatua hii nitahitaji email yako au namba ya whatsapp ili kukutumia hivi vielelezo.
TZS 811,370Dell Latitude E6420 Laptop - HDMI - i5 2.5ghz - 4GB DDR3 - 320GB
Habari mkuu...natafuta display ya samsung galaxy s6 edge plus. Naomba bei na muda mpaka kufika Tz