fredo fred
JF-Expert Member
- Oct 17, 2015
- 747
- 1,611
AsanteTZS 464,141.2
Mwl RCT
Hii hadi niitie mkononi itanigharimu bei gani
Onda Xiaoma 21 12.5 Inch Notebook Windows 10 4GB RAM 64GB ROM Intel Apollo LAKE Celeron N3450 Quad Core 2.2GHz Fingerprint Identification IPS Display 1080P - Gold
Mkuu hii ni full mchina? Au ni nzuri?THL T9 Plus 4G Mobile Phone 2GB RAM 16GB ROM
View attachment 609060
Itakufikia mkono ni kwa TZS 260,544
View attachment 609063
View attachment 609065
Inategemea na hitaji la nini zaidi kwenye simu, Hii simu ina betri ndogo. Hivyo kwa matumizi makubwa haitofaaMkuu hii ni full mchina? Au ni nzuri?
Souq .com ni bora zaidionline market za Dubai
Ni kweli online store nyingi za dubai hawatumi Tanzania,Nimejaribu hawa Gee wish, naona hawatumi mzigo Tanzania
Mwalim RCT,mzigo nimeupata salama bila tatizo lolote ubarikiwe sana,,,kwa yeyote mwenye kutaka kufanya biashara na teacher believe me be freee just do it 100% alotHabari
Mzigo wako umefika Tayari
View attachment 611818
- Fuata maelekezo whatsapp uje uchukue mzigo wako.
- Ahsante kwa kuchagua huduma ya BUY4M
KARIBU
TZS 410,805.2Naomba gharma ya hii simu
OUKITEL K5000 4G Phablet -$149.99 Online Shopping| GearBest.com
Seagate ST3000NC002 3TB 7200RPM 64MB Cache SATA 6.0Gb/s 3.5" Desktop Hard Drive 763649041000 | eBay Habari Mwalimu hii hadi niipate itagharimu kiasi gani.