Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 13,726
- 18,951
- Thread starter
- #5,381
Hapana, Hiyo ni gharama ya kutoa mzigo USA to Tanzania. Mzigo ukifika Tozo zinatusubiria.kwa hiyo hii ndiyo gharama hadi tv niishike mkononi?
Bado kuna kodi, TRA watatujulish ni kiasi gani, Bado kuna claerance charges, Angalia post number 1.