Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

kwa hiyo hii ndiyo gharama hadi tv niishike mkononi?
Hapana, Hiyo ni gharama ya kutoa mzigo USA to Tanzania. Mzigo ukifika Tozo zinatusubiria.

Bado kuna kodi, TRA watatujulish ni kiasi gani, Bado kuna claerance charges, Angalia post number 1.
 
Samsung A18 pro
Hizi hapa:
1716803932986.png
 
Mkuu samahani gharama hii machine mpaka inifikie ni shingapi?
Just found this amazing item on AliExpress. Check it out!
TZS29,461.75 20%OFF | 12V Mini Angle Grinder Rechargeable Grinding Tool Polishing Grinding Machine For Cutting Diamond Cordless Power Tools
 
Mkuu samahani gharama hii machine mpaka inifikie ni shingapi?
Just found this amazing item on AliExpress. Check it out!
TZS29,461.75 20%OFF | 12V Mini Angle Grinder Rechargeable Grinding Tool Polishing Grinding Machine For Cutting Diamond Cordless Power Tools
TZS. 148,020
 
Nina mzigo kutoka Uk nataka uende Tanzania, shipped kwa contena. Any lead?
- Je ni aina ipi ya mzigo? ( Nature of goods)
{1} Matumizi binafsi (au vitu vya nyumbani unachotaka kusafirisha kwa ajili ya matumizi yako binafs)
{2} Mizigo ya kibiashara

- Je, utahitaji bima?

- Collection postcode ni ipi.

- Je ni 20FT aau 40FT container

NB: Kwa kuwa baadhi ya taarifa ni too personal basi niandikie PM ili niweze shughulikia Shipping Quote.
 
Code:
 https://ytlansu.en.alibaba.com/
Ingia hapo:


1717826500832.png

1717826537543.png

1717826563916.png
 
🔔Nunua Bidhaa Yoyote kutoka Kenya, Bila Usumbufu!🔔

Je, unatamani kupata bidhaa bora kutoka Kenya bila usumbufu wa usafiri? Sasa unaweza! Fanya manunuzi kwenye tovuti yoyote ya Kenya, nami nitasimamia kila kitu:

🔔* Manunuzi: Nitanunua bidhaa yako kwa niaba yako.
🔔* Usafiri: Nitaisafirisha kwa ndege hadi Tanzania.
🔔* Delivery: Nitakuletea mpaka mlangoni kwako.

Huduma ni za haraka, salama na uhakika.

Karibu tukuhudumie!

🔔Angalizo: Bidhaa ikiingia nchini iwapo itadaiwa kodi, Utawajibika kulipia; Pamoja na clearance charges zitakazojitokeza hapa nchini.
 
Back
Top Bottom