demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Sina ujuzi huo mkuuHabari
Link haijanifkia
Weka link kwa kufuata huu utaraibu wa Code & [ ]
NATAKA PRINTER YA [HASHTAG]#EPSON[/HASHTAG] L850.Niandikie jina la bidhaa kiukamikifu
Pamoja na jina la site husika.
Poa chiefAhsante kwa mrejesho.
Masoko kundi B hii ndio changamoto yake.
Mfano waweza nunua Earbuds katika soko kundi B kwa US $5 tu, lakini ikasafirishwa kwa US $16 kuja Tanzania; Hivyo hiyoitem ikakugalimu US $21 jumla.
Express Freight/ Shipment (siku 3 hadi 7) - ndio Sababu jumla ya ghalama kuwa kubwa, ambapo kampuni kama DHL, ARAMEX, FEDEX ndio huusika katika kusafirisha bidhaa husika.
Tuangalie hii mifano miwili - Itakuwa msaada kwa wana JF wengine kuhusu masoko kundi B kama AMAZON, BESTBUY, etl
Mfano wa 1
View attachment 515561
Manunuzi US $11.99 + kusafirisha US $15.34 = Jumla ni US $27.33
Mfano wa 2
View attachment 515563
Manunuzi US $6.29 + kusafirisha US $15.34 = Jumla US $21.63
Je kwanini tunanunua kwenye masoko kundi B ili hali ghalama ya jumla inakuwa kubwa?
- Bidhaa husika haipatikani kwenye mitandao mingine.
- Bidhaa husika hata ukiipata kwenye mitandao mingine wauzaji hawatumikuja Africa.
- Masoko kundi B hutumika ili kupata bidhaa halisi na yenye ubora
SINA LINK,Nipatie link yake.
EPSON L850 - TZS 1,350,000 (Mpya)
KWA USED KUNA
- L800 TZS 600,000
- L300 TZS 350,000
View attachment 516149
Utasafirishiwa kwa njia ya basi mahala popote Tanzania BURE
KARIBU
Huwa wanaingiza nchini mzigo mkubwa kwa njia ya meli, Hivyo shipping cost inakuwa ndogo, Hivyo bei ya kuuzia pia inakuwa mdogo.HAKUNA UNAFUU WA KUAGIZA NJE,
BALI NI GHARAMA ZAIDI.
RETAIL SALERS WA KARIAKOO WANAUZA
Kuna kitabu kinaitwa Group accounts by Tom Clendon nakihitaji- Hard copy utasafirishiwa kwa ndege - ghalama itategemea uzito wa kitabu husika, Rejea post namba moja
- Kwa soft copy nakutumia kwa email baada ya kukinunua
KARIBU
YapView attachment 516208
Je ni hiki?
AsanteKaribu