Number 5 kunani?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,119
Reaction score
829,006
Ni njia ya kuwatoa wadanganyika kwenye reli ama?
Je ni namna ya kuepusha mijadala HOT ama kuna ihalisia?
Kwenye vipindi kama hivi.. Timu maalum za kueneza uzushi kiufundi sana huwa active sana.. Na sometimes malipo yake huwa mazuri sana!
Je ni wangapi ambao DOB na DOD hufanana ama hukaribiana kama sio kushabihiana?
 
Nikikumbuka Miaka ya Nyuma Kipindi cha CDM ipo HoT sana Kule Arusha,Mwanza Vijana Walijitokeza Kupigania Chama wakidhani Kitawakomboa Mwisho wa Siku walipigwa Risasi na Wengine Kupata Majeraha ya Maisha

Leo Hii Hakuna Anayewakumbuka.

LIVE YOUR LIFE... Basi USIMPIGANIE MTU MWINGINE
 
hapa hakuna uhalsia apa wanahamisha njia ya reli kwan 5 bado yupo active na anacheki tuu kete za game zinavyosegezwa mbele ili wawin ili draft lao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…