Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,064
Huwezi Kufanyia Kazi Serikali Za Afrika Ukategemea Utatumia Akili Yako.Hapo ulipo kama ni mwajiriwa wa Serikali ya JMT unafanyia kazi ndoto za CCM au ndoto zako?
Ukikubali Kufanya Kazi, Tegemea Kutekeleza Maagizo Tu.