leo amejitokeza, alishahamisha zile pesa kwenye akaunti zake? Au wababe wamemnyang'anya?
Maana nyeti nilizonazo aliulizwa "uta face the music au utatupa tuzirudishe zinapostahiki"?, naona mpaka sauti kama kweli leo imetoka, ni maji ya shingo.
Nahisi kamalizana nao "kistaarabu". Pesa ni mchezo? Tanzania wahuni wengi.