DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Mimi ni Mkiristo, nadhani wakiristo wenzangu mnaufinyo wa kuolewa mambo, Mkisoma kwa makini mtaona waislam wanahaki ya kuleta madai kama mtanzania mwingine , kumbukeni tunaishi ktk nchi inayoruhusu freedom of expression ni tafauti na tunakotoka wakati wa Nyerere,
Ethical issue; ni kitu muhimu kuandalia kama mtu anataka uondozi, kama Mchungaji au JK anakabiliwa na kesi ya uzizi, hili nikosa kubwa la uzizi, kiongozi anaekabiliwa na shtaka kama hili nivizuri ajiuzulu na kama bado hajachaguliwa inamaana hafi kuwa kiongozi kutokana Moral Issue
Kama waislam wanaona wanaonewa, basi wako na haki ya kuelezamasikitiko yao, kama vile Wakiristo wa madhehebu mengine waliwai kumlalamikia Nyerere kuwa anachaguwa wakatiliki pekee
Ndugu zangu wakirsto, tujaribu kuwa waelewa wa mambo kikina sio kukurupuka na kuongozwa na jazba na matusi, najua tunamatatizo ya kuelewa kiswahili lakini inabidi kujielimisha
ukristo co jna au kuingia kanisan pekee. Unahitaji mda zaidi kuujua ukristo .jiurize kwann maaskofu hawajajibu,! Ukwel nikwamba wamewapuuza na wanaheshem na kuwapenda maaduizao km yesu alifu tuagiza.