Nukuu takatifu ya Mkuchika!

Naomba tutambue hajazungumza hayo kama Mkuchika ila kama Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Sasa kama Chama kimemtuma aseme hayo basi Wana busanda watajibu, ila kama yupo kule kama Waziri, ni kosa kubwa sana na Tume ya Uchaguzi (NEC) inatakiwa ichukue hatua kwa sababu Warioba alipoteza ubunge kwa kutotenganisha kampeni za chama na Wadhifa wake wa Waziri Mkuu. Hivyo Wana Busanda ni vyema wakaelewa hao Mawaziri wapo kule kama makada wa Chama (CCM).
 
Naomba tutambue hajazungumza hayo kama Mkuchika ila kama Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Sasa kama Chama kimemtuma aseme hayo basi Wana busanda watajibu, ila kama yupo kule kama Waziri, ni kosa kubwa sana na Tume ya Uchaguzi (NEC) inatakiwa ichukue hatua kwa sababu Warioba alipoteza ubunge kwa kutotenganisha kampeni za chama na Wadhifa wake wa Waziri Mkuu. Hivyo Wana Busanda ni vyema wakaelewa hao Mawaziri wapo kule kama makada wa Chama (CCM).

siku CCM wakitenganisha nyadhifa za kiserikali na Chama chao ndiyo utakuwa mwisho wao!! fikiria waziri anachukua gari la wizara hadi kwenye jimbo lake kufanya kazi za kichama huku akilipwa hela za mafuta ili aweze kufanya kazi zake za kibunge.
 
Waziri wetu wa habari matendo yake yananipa picha kuwa ni mtu ambaye ni wa mashaka mashaka. Ana tendency za udikteta, za kutaka kuzima fikra za watu wenye mitazamo tofauti na yake.Huyu bwana nimuonavyo bado anaishi kama spy wa kale asiyetaka kujishughulisha kujifunza mapya yanayojiri. Kwasababu hiyo treatment zake kwa watanzania wa leo ni kuwa hawastahili kujua lolote kuhusu nchi yao.Udikteta na ubabe wake naona hautusaidii watanzania na kwahiyo hana sifa ya kuwa waziri wa habari.Abaki huko CCM au aendelee na ubunge kama watu wa kule kwao bado wanamuhitaji. Nahisi hatufai huyu jamaa kabisa
 
Mkuchika amethitisha yale niliyoyaamini kabla kuwa "Serikali ya CCM kwa muda mrefu iliwanyima Watanzania elimu ili iweze kuwatawala". Sasa amewaeleza Watanzania wazi kabisa kuwa jinsi walivyo ulikuwa mpango mahususi wa ccm.
 
Kwa jina la mwenyezimungu, mwingi wa rehema, amlaani huyu kahaba wa dharau, aliyekosa hata chembe ya huruma, asiyejua majonzi ya mafukara wa Tanzania. Hawa ndio wale viongozi wanaonuka, sio wananuka rushwa tu, wananuka miili yao, ukiwasogelea wanatoa harufu kali, si kwamba hawaogi, la hasha, harufu hizo hata wakioga na maji safi na mediketedi sopu hazitawatoka. kwani ni harufu za laana za watoto wa tanzania wanaoteseka kwa kukosa huduma muhimu kwa makusudi ya viongozi hawa kwa maslahi yao ya kisiasa.

Mkuchika hajakurupuka kuongea haya. Amedhamiria, na kabla ya kutoa kauli hiyo ni lazma kuna pre meeting na wenzake.

Najua haya ni mawazo finyu ya akina Tambwe hiza, na wazee wengine wanaotumia kodi zetu kufanyia ufuska.

Kwa taarifa yenu, watanzania wa leo si wale mnaofikiria, tunafaham uozo wenu, na familia zenu. hamna uongo wa kuendelea.

Mjiulize kwa nini mnazomewa? kwa nini hamkubaliki? Mnajisikiaje mkiwa meza moja na yule aliyekuteueni?
Mnatia aibu mbele yake, na mbele ya watanzania. wewe mkuchika unakumbuka ulipotoa kauli mbovu mbele ya vijana wa upinzani? wewe ni muuaji. Haya na mengine mengi ndio jibu la kwa nini Tz hatuendelei.

Hamjui uongozi, tafuteni kingine cha kufanya. mnang'ang'ania hapo kwa nini? Pumbav....

Umeenda Busanda kutukana watu? au umeenda kufanya kampeni?

Hujui ufanyalo......
 
Back
Top Bottom