Hydrobenga
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 1,127
- 212
Hongereni Kazi yenu tunaiona....
Mnawekeza lakini wanachama wenu hawapati riba ya kile mnachokifanya
NSSF kabla ya Dau ulikuwa ni uozo kama mashirika mengine ya umma, lakini leo ni Shirika la mfano Tanzania na Afrika.
Tupia financial statements za past three years tuone kama uozo umeondoka. Unaweza kuwa victim wa window dressing.
MrNSSF wapi naweza pata balance sheet ya NSSF ? Kama ni document ya siri iko kabatini kwa Dau au zimefukiwa chini kama hati ya muungano nijulishe mkuu manake za NSSF kenya na Uganda ziko online they are just a click away .
NSSF kabla ya Dau ulikuwa ni uozo kama mashirika mengine ya umma, lakini leo ni Shirika la mfano Tanzania na Afrika.
acha unafiki wewe uhafidhina umekujaa
Dau ndio muislamu pekee ninayemkubali..huyu sijui kwa nini mkapa alimtoa kule bandarini huyu
Toka kulee