spiritual hero
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 354
- 64
Real!
Ni kwa vile majina yenyewe hapa kitalani.
Kwani kupiga disco kuna ubaya gani? Kila mtu anaweza kupiga disco? Unafikiri ni kazi rahisi? Ni wangapi walikuwa na kumbi za disco leo ni magofu? He is smart and intelligent hilo halina ubishi.
mafanikio ndio yanapina kiwango cha akili na werevu wa mtu. Kila mtu anaweza kupata degree, masters, na phd. Hizi elimu za darani zina formula moja tu kusoma vitabu vilivyoandaliwa, period. Ukivisoma vingi huku unalishwa na umetulia unatunukiwa vyeti, hakuna kitu unatakiwa kufanya zaidi ya kuigiza nini wenzako wameshafanya.
Ila ukiachwa porini bila fedha ama na fedha unatakiwa ujue utaziongeza vipi hapa hakuna kukariri inahitajika akili, ubunifu, maarifa na kufikiri out of the box. Yes he did it more tha 20 years na dico and he does very well.
Kwa hiyo unaweza kumuita Bakheresa muuza lamba lamba kwasabu tu hana lundo la vyeti vya darasani, wangapi wameshindwa kuwa yeye.
Ukisoma masoma masomao mengi duniani ni historia za wale waliofanya bila vitabu, Dr Isaac Newton, Gallileo, Dell, Bill gates, nk
Kina Mbowe ndio sababu ya vitabu vya biashara kuandikwa. TZ ingekuwa nchi inayotukuza kazi, ubunifu ufanyaji kazi na kujituma leo tunekuw ana vitabu vya maisha na mafanikio na kushindwa akina Salum Bakheresa, Kiswele, Ngorika, Mengi, Maburuki, Makosa -iringa, nk.
Tungesoma ni vipi mtu ambaye hajamaliza darasa la saba aliweza kuwa tajiri ungewa activate wote wanaoona bila shule kubwa kubwa hawezi kitu, tungesoma vitabu vya maprofessa vipi walifanikiwa wale wenye uwezo wa kukariri vitabu vingi wangejifunza baada ya kukariri kitabu inakupasa kufikiri nje ya kitabu ili kufanikiwa.
Badala ya kutumia hasira za umasikini kulaumu waliofanikiwa kwa kuwarushia maneno ya kashfa na kuonyesha usongo wa mawazo wengi waliokuwa nayo.
Ni kwanini basi wakija nchini watu kama JZ, kanye west, hayati Luck dube, Dell, Bill gates, Wacheza movies wa holl wood wenye fedha nyingi bila elimu msiwaone hawafai? Mbona vitabu vingi mnavyosoma ni maisha ya watu wasio na formal education bali uwezo mkubwa wa kufikiri na kutenda.
One day will understand. .... loading.
Ahsante mkuu.