Amelipa lini? Mbona nyaraka tulizonazo zinaonyesha bado Bw.Mbowe anadaiwa mamilioni ya shilingi?
Tatizo la baadhi ya wana JF kila kitu wanaleta ushabiki wa vyama na kuondoa kabisa uwezo wa kutafakari kwa kukubali majibu mepesi, ni kweli Mbowe ana deni kubwa NSSF hilo halina ubishi nina uhakika si bahatishi na kuna kipindi NSSF ilikuwa inataka kukamata kiwanja chake cha pale moshi mjini. Ki ukweli ni mapugufu kwa mtu yeyote kuchuka pesa hovyo kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii bila ya kuzirudisha kwani ni pesa za wanachama.
naomba ukweli, balanced report always is good for me. Itendee nchi yako haki. Tiririka ......
Tiririka wewe uliyesema kabambikiwa.
Hivi NSSF yote mijitu iliyobobea na mi CPA iwe miongo na msema kweli na ajuae mahesabu ni Mbowe, school failure?
Mbowe huyuhuyu aliyeundanganya umma kuwa hataki shangingi? akalirudisha mlango wa mbele akaenda kuhukuwa lingine mlango wa nyuma?
Hoja zingine ni ujinga mtupu.
Akalipe deni au aombe msamaha.
Acheni kudanganyana mbowe alikopa 500ml. Enzi hizo akakataa kulipa deni kwani ilikuwa linaongezeka siku adi siku, wakampeleka mahakamani nssf wakashinda kesi n akatakiwa kulipa jamaa akawa hana pesa kilichofatia nssf wakapewa kibali cha kumkamata, serikal ikasema subirn kwanza hii ishu ndio itakuwa njia ya kufanikiwa kisiasa....so ndiomana unaona mbowe anakujaga juu na serikali ikimkumbusha liledeni mbowe anachanganyikiwa, mwisho wa siku anakuwa mpole
Mbowe lipa hela za walalahoi acha kuleta porojo.
Mh. Sumaye wakati akiwa PM aliwahi kukopa hapo hapo million 50, je, alishalipa?
Dah wd kweli msalani.
Mkuu umenena ni vyema makamanda wakachanga au kuchukua pesa za ruzuku na kumlipia mwenye kiti deni.Kwahiyo deni limegeuka fimbo ya kumnyoosha na hawana haraka ya kumdai kwa nguvu mpaka wakati mwafaka.
Mi naona wanachadema wamchangie deni liishe,vinginevyo mambo hayataenda.
mnabishana na mpiga disco?