Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,652
Mimi nimeangalia Aya ya mwisho tu imetosha kuelewa. "Tunapenda kutoa pongezi Kwa bill nass na nandy...."
Sio vyema kuwa kashifu wenginewewe ni mjinga flani tu,
sasa unataka kulazimisha iwe kama unavyofikiri wewe,
rubbish
Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
Boss wa Nssf ni mwenyeji wa KilimanjaroMimi nimeangalia Aya ya mwisho tu imetosha kuelewa. "Tunapenda kutoa pongezi Kwa bill nass na nandy...."
Masha J Mshomba ni mtu wa Kilimanjaro??tokea lini hiyo nduguBoss wa Nssf ni mwenyeji wa Kilimanjaro
Yaani siku zooote hatangazi huduma, ila baada ya kusikia flani anaoa, basi ghalfla bon vuu ndio akili ya kutangaza huduma inakuja, au sio?Kuna muda hizi taasisi zinareact kwenye ujinga..... kibiashara hii ni ishu ya kawaida katika kutangaza huduma yao sioni wanajitetea nini hapa na ilikua ni sehemu sahihi kutangaza huduma.... licha ya aina ya watu walohudhuria ila pia matangazo yalikua live.
Sasa pale kwenye harusi nssf walifata nini hahahahaha
They will know they dont know. Watajua hawajuiKimesanuka, they will know.
Hebu wekeni lile bango lao la ufadhili
Gharama yote hiyo NSSF iliyoingia kwa ajili ya bando la wavuka daraja la Kigamboni au na wakazi wa mikoa yote Tanzania? Yaani mkazi wa wilaya ya Tanganyika anaweza kununua bando hiyo na akawa anavuka daraja la Kigamboni? This must be Black Magic, sasa tunaruka kwa ungo.
NSSF hakufadhili Bali mlikuwa Wazamiaji kwenye harusi? Wastaafu mmeshindwa kuwalipa mnakwenda kufadhili harusi?