KERO NSSF wanakwaza wakati wa madai

KERO NSSF wanakwaza wakati wa madai

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kama gross salary ni laki moja. Then utalipwa 33,% ya lakimoja kwa miezi sita. Then utasubiria miezi 18 kama hujapata ajira nyingine unavuta mzigo wako wote
Kama ni skilled labour means una profession, mara nyingi wanaanzia kama una diploma ni 33%.

Lakini kama hauna profession umeishia secondary au primary unalipwa zote.

Haihusiani na mishahara
 
hii kipengele ya member verification huenda ikachukua muda gani mpaka kufanyiwa kazi
 
Kama gross salary ni laki moja. Then utalipwa 33,% ya lakimoja kwa miezi sita. Then utasubiria miezi 18 kama hujapata ajira nyingine unavuta mzigo wako wote

Kama gross salary ni laki moja. Then utalipwa 33,% ya lakimoja kwa miezi sita. Then utasubiria miezi 18 kama hujapata ajira nyingine unavuta mzi

Kama gross salary ni laki moja. Then utalipwa 33,% ya lakimoja kwa miezi sita. Then utasubiria miezi 18 kama hujapata ajira nyingine unavuta mzigo wako

Kama gross salary ni laki moja. Then utalipwa 33,% ya lakimoja kwa miezi sita. Then utasubiria miezi 18 kama hujapata ajira nyingine unavuta mzigo wako wote
inamaana baada ya kulipwa kwa miezi 6 Huwa wanakata kutoka kwenye account yako kiasi kinachobaki kutoka kwenye account ndo unasubiria hadi miezi 18 au wanakuwa hawakati kwenye account yako?
 
inamaana baada ya kulipwa kwa miezi 6 Huwa wanakata kutoka kwenye account yako kiasi kinachobaki kutoka kwenye account ndo unasubiria hadi miezi 18 au wanakuwa hawakati kwenye account yako?
Wnadai hawakati salio lako linabaki palepale, japo hilo sijathibitisha kwakweli
 
Sasa rasmi NSSF wameruhusu fao la mkupuo ambapo sasa unaweza kuchukua mafao yako yote na kusonga mbele
 
Hivi ikiwa umefanya kazi kampuni X ukawa unawekewa pesa zako kama kawa NSSF,

baada ya muda ukaenda kampuni Y ukaacha kazi je vielelezo vya kampuni Y vinaweza kutumika kuchukua mafao yako yote hadi ya kampuni X ?

Muongozo tafqdhali
 
inamaana baada ya kulipwa kwa miezi 6 Huwa wanakata kutoka kwenye account yako kiasi kinachobaki kutoka kwenye account ndo unasubiria hadi miezi 18 au wanakuwa hawakati kwenye account yako?
Ukipata kazi nyingine au usipoitoa hata baada ya kukosa kazi hiyo haikatwi chochote. Ila ukiidai basi unakatwa pesa waliyokupa
 
sera mpya na ya zamani za nssf zinafanya kazi zote? Kwa nini isitumike sera moja? hapa na maanisha fao la kukosa ajira,imekiwa kilio kikubwa Kwa vijana wengi,
 
Back
Top Bottom