Yote hovyo! sheria inataka ujiunge basi huna jinsi.Naomba kufaham ni mfuko upi wa pension ambao ni mzuri
1.malipo
2.process za ufuatialiji malipo
3.na services zinazotolewa
Acha fix mifuko yote sasa calculation ni moja ata pesa unapata ile ile haijarishi mfuko. Usumbufu na uongo ndio unaua hiyo pspfMfano mtu aliyelipwa mafao milioni 60 pspf akienda nssf hazidi milioni25(kwa mshahara ule ule na muda wa utumishi ule ule)