Lets say nina umri wa miaka 35, nimefanya kazi katika kampuni ya kigeni - kampuni imefungwa wanaondoka wanarudi makwao. Fao langu kwa miaka 7 niliyofanya nao kazi ni zaidi ya 45m. Serikali inaniambia ati nitafute kazi nyingine ili niendelee kuchangia.....nimetafuta kazi mwaka wa pili sasa sijapata naishi kwa kuombaomba... chakula shida, pa kulala ni shida - Nahangaika hivi wakati nina 45m zipo NSSF - Je hii ni HAKI.
FAO la kujitoa HOJA nzito mno ....wafanyakazi tuchague chama kinachokuja na SERA bora hasa kwenye FAO hili.