Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,506
- 11,439
Unaweza usiipate kwa siku hiyo, ukaambiwa mweka saini ana kikao kirefu. Ile ofisi ya Nssf Ubungo ni janga la taifa, wahudumu wana lugha chafu sana, hasa pale kwenye kupiga picha za vitambulisho!Sijakuelewa, je kwa anayechukua cheque? Mfano mtu amepangiwa kwenda kuchukua cheque tarehe 24 hawezi kupata?